Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,256
- 16,317
sana itakuuwa siku ya jigjig jf hahahahaha ....Kumbe unatafuta wa kumvalia? Kaazi ipo [emoji134]
Leo mpaka siku iishe tutaona mengi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sana itakuuwa siku ya jigjig jf hahahahaha ....Kumbe unatafuta wa kumvalia? Kaazi ipo [emoji134]
Leo mpaka siku iishe tutaona mengi
Hahahaaaaaa nivae mwenyewe halaf nkate kwa makusudi aiseee hapanaa bnaHahahahaha.... Ulikuwa unazikata mwnyw?
Ndo maana ya jukwaa la mahusiano na mapenzi Mulhat MpungaKumbe unatafuta wa kumvalia? Kaazi ipo [emoji134]
Leo mpaka siku iishe tutaona mengi
Nilikata tamaa bana weiiiii,halafu nlikuwa najivalia tu cjui hta maanake🙂[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] Kuna zile Za wamasai ambao hawazichakachuiii wtu skuizi nao wapo kibiashara
C urembo bana ww vpNilifikiri zinavaliwa mnapokua mnaenda Kwenye shughuli tu kumbe full time.
Utakuta mwingine ameyavaa mengi mpaka kero.
Utakua na hips inch 48 sio bureHyo mambo ilinishindaga aisee nlikuwa nikivaa nikienda toilet navua surual unajikuta nmezivuta zimekatika nkaona hii mambo siwezi
Ni urembo ndio ila kumbuka hata kula kuna utaratibu ukizidisha wavimbiwa, kunywa pia ukizidisha walewa.C urembo bana ww vp
Sasa unavuaje suruali mpk unakata utamu.... Sema tu zilikuwa zinakatika ktk harakati za mambo yetuHahahaaaaaa nivae mwenyewe halaf nkate kwa makusudi aiseee hapanaa bna
We mbayaaa...ni kungwi ninh?! 🙂Utaonekana mshamba kwa nani...ukizivaa nje ya nguo utaonekana kituko ila ukizivaa zinapotakiwa utaoneka kimahaba zaidi
Ni pm......Jamani hivi uvaaji wa shanga ni ushamba wa kizamanii au ndo maraha? Natamani kuzivaa ila naogopa nitaonekana mshamba na nimezinunua tayari.
Ushauri wenu wa bure na sitaki matusi wala dharau kama vepe unaweza uka pita mdogo mdogo[emoji124] [emoji124] [emoji124]
kwa jina la heshima zinaitwa 'chachandu'Jamani hivi uvaaji wa shanga ni ushamba wa kizamanii au ndo maraha? Natamani kuzivaa ila naogopa nitaonekana mshamba na nimezinunua tayari.
Ushauri wenu wa bure na sitaki matusi wala dharau kama vepe unaweza uka pita mdogo mdogo[emoji124] [emoji124] [emoji124]
Siku ukijua asili ya hizo shanga utaziogopa kama unavyomuogopa nyokaJamani hivi uvaaji wa shanga ni ushamba wa kizamanii au ndo maraha? Natamani kuzivaa ila naogopa nitaonekana mshamba na nimezinunua tayari.
Ushauri wenu wa bure na sitaki matusi wala dharau kama vepe unaweza uka pita mdogo mdogo[emoji124] [emoji124] [emoji124]