Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

IMG_20151130_184955.jpg
Hapa angalau zimetulia, shape matters!
 
Hizi ni Uji wa mgonjwa, zinaongeza hamu ukizishikashika.
 
TUJUZE KUHUSU HII KITU MIMI DEMU MWENYE KUVAA IZI NAMUONA KAMA MCHARUKO PIA NA HARUFU YA USHIRIKINA INAKUJA HAPOHAPO
12495246_1675696812686296_5142259800952480395_n.jpg
 
Mama weeee!!
Jamani..mbona karibu nizimie kwa tafsiri mnazotoa!
we zimia tu kikuku kikivaliwa kimoja upande wowote humaanisha alivaa anaharisha.vikivaliwa miguu yote humaanisha mvaaji anaharisha na kukojoa.kwa wanaume hereni ya kushoto kwa wenye maana zao ni mende yaani anapenda mavi,kwa kulia ni mchele wapepetwa huo.kama zikivaliwa hereni mbili maana yake nipige nikupige lala laliwa hilo.karibu pwani
 
Back
Top Bottom