Kumbe unavaaa!? Ni PM plsMmh. Nionavyo siku zote tangu ianze hii ya kuvaa kikuku maana halisi ya ule uvaaji bado haujapatikana zaidi ya watu kuhisi kwamba anayevaa hivi basi atakuwa anafanya hivi.
Hivyo ni vyema kuachana nao kwa kuwa wanavaa wenyewe na maana ya huo uvaaji wao pia watakuwa nayo wenyewe.
Wapi amesema na yeye anavaa kikuku?Kumbe unavaaa!? Ni PM pls
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]Wapi amesema na yeye anavaa kikuku?
Kuwa makini
Nipo tayari kukununulia mkuuYaani sivipendi hata mtu akinambia ni dawa siwez vaa aisee