Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

Mmh. Nionavyo siku zote tangu ianze hii ya kuvaa kikuku maana halisi ya ule uvaaji bado haujapatikana zaidi ya watu kuhisi kwamba anayevaa hivi basi atakuwa anafanya hivi.

Hivyo ni vyema kuachana nao kwa kuwa wanavaa wenyewe na maana ya huo uvaaji wao pia watakuwa nayo wenyewe.
 
Vikuku ndo nini?

b7950798d3f5b01a025f2c74236b9659.jpg
44ba636455d5ae474d224540bfae8f12.jpg
acc2dec76a6544cb236775b5373f5582.jpg
02861f34db35c2b02963b616c6facc6d.jpg
 
Mmh. Nionavyo siku zote tangu ianze hii ya kuvaa kikuku maana halisi ya ule uvaaji bado haujapatikana zaidi ya watu kuhisi kwamba anayevaa hivi basi atakuwa anafanya hivi.

Hivyo ni vyema kuachana nao kwa kuwa wanavaa wenyewe na maana ya huo uvaaji wao pia watakuwa nayo wenyewe.
Kumbe unavaaa!? Ni PM pls
 
mimi sivipendi[emoji23] baadhi ya watu nnaowafahamu wanavaaga najaribu kuwaelekeza wanasema ni urembo tu hakuna lolote.
Ila kuvaa kikuku ni nembo ya umalaya, mguu wa kushoto nyuma ,wa kulia mbele...
akivaa yote anauza pote[emoji23][emoji23].


Halafu zamani walikua wanavaa walioolewa ambao mumewe jogoo hasimami ,kwahiyo akivaa anamaanisha mumewe hawezi kitu yuko tayari kwa mpango wa kando na Bwana karuhusu( mama ndivyo alivosema )
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Kila mtu na perception yake..
Ukikandia kikuku na cheni za kiunoni je?!!!
Na wanaotoboa masikio matundu sita sita je?!!

Me navaa na nnaviuza jamn..mwenye kuhitaji karibu PM
IMG_20170522_194549.jpg
 
Back
Top Bottom