Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

Hah hah hah hah hapo zamani JF ilikuwa nzuri zaidi.

Siku hiz humkuti bro P akichangia mada kama hizi.





 
Hah hah hah hah hapo zamani JF ilikuwa nzuri zaidi.

Siku hiz humkuti bro P akichangia mada kama hizi.
Mkuu Okiwira,
Nipo, nikiwa na cha kuchangia, huwa nachangia.
P
 


Link ya mwisho nimeipenda heshima kwako Mkuu Pascal Mayalla
 
Na inakuaje kama ukavaa alafu kidume kikataka kugeuza chapati........!!!?
 
Wengine ni wamama na heshima zao tena wana pesa za kutosha wanavaa ina maana nao wanatangaza hiyo biashara?
Kwani wao ni maraika? Uhuni auna umri bhana unaweza kutana na mmama mtu mzima ile mbaya lakini ndiyo michezoyake hiyo.
 
Vp lakini katika pitapita zako aukukutana na kitudeme kikasoma nyakati kikataka Mtaro?
 
Nilijua ni kuku wageni wameingia mjini juzi tu hata km zao hazisomi zaidi ya 10km.

Pia nilidhani ni njiwa mwenye mwenyewe kashawekewa tag mguuni, miaka ile ya utoto tulikuwa tunachonga plastic za rangi mbalimbali na tundu kisha unamvisha njiwa wako hata mpishane tegeta wakati nyumbani mbagala utamjua tu.
 
Tusaidiane wataalamu wa mambo,

Nashindwa kuelewa nini hasa maana ya kuvaa shanga kiunoni kwa wanawake, hasa wakati wa mgegedo.

Niliwahi kumnunulia mchumba cheni za kuvaa kiunoni, mwisho wa siku hata sikuelewa lengo la ile cheni ni nini.

Nini hasa lengo la kuvaa vile kiunoni?
 
Wale wenye muonekano wa 'apple' pale wanapoinama,huongeza spidi ya mambo.
 

Mada kama hii unashindwaje kuweka kiambatanishi mkuu? Ili michango iwe hai.
 
1. ukiwa unapiga chuma mboga , unakua unazivuta zile mithili ya kamba, maana bila zile inabidi uvute bega ambalo liko mbali

2. ukipiga stroke za fasta fasta zile beads hua zinalia na kutoa sauti moja fantastic sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…