The hitman
JF-Expert Member
- Nov 30, 2017
- 3,673
- 2,288
Wanatoa sumakuBinafsi nikiona mwanamke kavaa hizo mambo hua akili inaruka kabisa na katika majaribio yangu nikuta 96% kweli ni watoa fukwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanatoa sumakuBinafsi nikiona mwanamke kavaa hizo mambo hua akili inaruka kabisa na katika majaribio yangu nikuta 96% kweli ni watoa fukwe
Mambo ya mujini hayo husiogopeKuna ndugu yangu kaanza kuvaa ivi vitambulisho mwaka jana huwa najiuliza sana anavivaa kama urembo au la na tabia yake ilivyochange ndio sielew kabsa
Sent using Jamii Forums mobile app
Dada zetu, wake zetu, wapenzi wetu na mama zetu, mapambo ni kwa kiasi yakizidi ni tatizo. Kwa upande wa vikuku mimi sikujua ni batili mpaka pale Mwana FA katika wimbo wa 'Mabinti' aliposema 'Unaona shanga za miguuni naita vikuku, japo kwa wenye ufahamu ni batili'.
Ukweli unabaki kuwa wadada wamama jipambeni kwa kiasi. Naamini hata wewe ukiona mapambo yanazidi yanageuka kero. Mimi naomba nikupeleke deep zaidi kwenye saikolojia ya mapambo. Kwa vile lengo la mapambo toka enzi na enzi ni kumfanya mwanamke apendeze na mwanamke akishapendeza amini usiamini anakolea zaidi katika mambo fulani.
Wanawake walioongoza kwa kuvaa dhahabu walikuwa wanawake wa Kimisri enzi za Malkia Cleopatra. Mapambo haya yalifikia kilele chumbani wakati wanawake hawa walipojifunua miili yao na kubaki kama walivyozaliwa na walianza kucheza kila aina za mikatiko huku wakisaula kimoja kimoja hatimaye walibakisha shanga za kiunoni, vipini na vikuu na shughuli ilifuatia.
Mpaka leo wanaoongoza kuvaa mapambo hswa dhahabu ni wanawake wa kiarabu lakini mapambo yote ndani ya baibui mpaka muda muafaka wa kujifunua tena kwa mlengwa pekee.
Kutokana na dhahabu kuwa ghali, wadada zetu ili kuonyesha jeuri ya pesa sasa ni kupanga macheni, mapete na mahereni lukuki tena wengine mpaka shanga za dhahabu!. Na asienavyo si haba shurti aazime.
Hapa ndipo kwenye matatizo. Mapambo yakizidi ni dalili ya inferiority complex kwa baadhi ya wanawake kujipamba kupindukia ili kujiridhisha nafsi zao kwa sasa wamependeza. Wajipambao kwa madhahabu mengi kupindukia ni ama wametoka familia duni na sasa wamepata wanataka kuutangazia ulimwengu wote hiyo sasa ndio thamani yao. Wanawake matajiri wa kiukweli wanavaa mapambo simple tuu halafu nenda kwenye mkesha wa mdundiko
Uone mijimama inavyoshindana kwa dhahabu.
Namalizia na pambo la ndani la shanga za kiuno. Baadhi ya wanawake wanaamini shanga hizo huwapagawisha wenzi wao. Basi utawakuta wengine wanafikiri ukizidisha idadi unakuwa bingwa zaidi. Niliwahi kuzihesabu za bingwa mmoja a Tanga, alinivalia 40!. Kwa vile mie sio hoi kwa somo hilo, huyo dada japo ulikuwa bingwa hilo zigo la maashanga kwangu lilikuwa kero kiasi cha kuharibu ladha yote ya somo zima!.
Na sasa hivi visichana vinavyochipukia, vinavaa lundo la shanga mikononi kama bangili ili kukupa nafasi ya kujiuliza kama mkononi ndio hivyo, huko kwenyewe itakuwaje?!.
Mapambo ni kwa kiasi tuu yakizidi inakuwa taabu.
Pasco
Mkuu Okiwira,Hah hah hah hah hapo zamani JF ilikuwa nzuri zaidi.
Siku hiz humkuti bro P akichangia mada kama hizi.
Mkuu Okiwira,
Nipo, nikiwa na cha kuchangia, huwa nachangia.
Enjoy Black Beauty: Did You Know They Are Two Types?!. Black Inside Out & Black Out, Inside Red!.
Wanabodi, Kwa vile leo ni weekend, hakuna ubaya kuburudika na picha za blacks beauty ambapo katika wasifu wa Black Beauty, jee, did you know kuna two different types of Black Beauties?!. Kuna Blacks ambao ni black inside out na kuna blacks ambao ni black outside but inside red!. Hao black...www.jamiiforums.com
Anatomical Question on Squirting: Why Only Some and Why So Much Fluid?
Wanabodi, Wenye utaalaam na mambo ya anatomy, naulizia anatomical reasons, why only some do and others don't?. For those who does, why some just some little fluid and others so much fluid?! appx over a litre mpaka kitanda chote kinaloa, shuka zinaloa hadi godoro linaloa?! Na kwa vile mhusika...www.jamiiforums.com
PEnyi Waume Wapendeni Wake Zenu!-Wife Kanirudia Saa12:00 Asubuhi!-Bado Nampenda!
Wanabodi, Kama umejaaliwa kipaji cha kupenda kwa dhati, sio vibaya kuwafundisha na wengine kupenda kwa dhati hivyo kuimarisha ndoa despite all the odds!, hii maana yake hakuna ndoa isiyo na matatizo hata madogo madogo!. Hivi ninavyoandika hapa, sijalala usiku kucha nikimsubiri wife ambaye ndio...www.jamiiforums.com
Na inakuaje kama ukavaa alafu kidume kikataka kugeuza chapati........!!!?Hii kitu ni urembo tu!!! Ika unatumika sana na wadada wa aina fulani!!! Msichana mstaarabu na anaejielewa na kujitambua ni ngumu kumkuta kavaa kikuku... Vinavaliwa sana na wapenda sexual attention, ila haimaanishi ni wanachama wa tigo. Ukivaa kikuku unajifeel sexy, ata jinsi ya kutembea na kuongea inabadilika....
Kwa mtu kama mimi siwezi ata kukivaa... Yaani ni kama kumwaga sukari chini, obviously sisimizi watakuja tu... Kikuku ni kama sukari, kinavuta wanaume.
Hujawau kukutana na jamaa akataka samadi?siachi kuvivaa hata wasemeje[emoji41],ukisikiliza kila kitu utaishi kama mzimu..
Kwani wao ni maraika? Uhuni auna umri bhana unaweza kutana na mmama mtu mzima ile mbaya lakini ndiyo michezoyake hiyo.Wengine ni wamama na heshima zao tena wana pesa za kutosha wanavaa ina maana nao wanatangaza hiyo biashara?
Usiogope bhana kama wanasema ni urembo we vaa tu.Et jamani yaani watu wanapenda kujishushia heshima ktk Jamii kwa kuiga vitu vya kijinga mm siwez vaa aisee hata ingekuwa na tafsir nzur yaani cjui navionaje
Vp lakini katika pitapita zako aukukutana na kitudeme kikasoma nyakati kikataka Mtaro?Mmh,hakuna kitu kama hicho kwangu kilichotokea ni basi tuu kama mtu anavyoamua kuacha punyeto/sigara/bangi/pombe n.k ndivyo ilivyo kwangu na Bado mwanamke mwenye guu lake akivaa ananivutia na simfikirii kama ni Malaya...pia kazi yangu hainiruhusu kujiachia kihivyo mkuu ingawa niliacha kabla kabisaaaa ya kuwa na majukumu yyte yale.
Na hiyo miguu yako kama filimbi, havitakupendeza, bora umelitambua hilo mapemaYaani sivipendi hata mtu akinambia ni dawa siwez vaa aisee
Tusaidiane wataalamu wa mambo,
Nashindwa kuelewa nini hasa maana ya kuvaa shanga kiunoni kwa wanawake, hasa wakati wa mgegedo.
Niliwahi kumnunulia mchumba cheni za kuvaa kiunoni, mwisho wa siku hata sikuelewa lengo la ile cheni ni nini.
Nini hasa lengo la kuvaa vile kiunoni?
Mada kama hii unashindwaje kuweka kiambatanishi mkuu? Ili michango iwe hai.