Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa sababu ubongo wako umekwambia hiyo ni chakula.Yaani nilivoona tuu na mashine imesimama
Upo sawa. Hii mitazamo huwa inatokana na idadi kubwa ya wavaaji hivyo vidude kuwa na tabia zisizofaa.Ni mtazamo tu
Kwenye biblia mstari wa ngapi mkuu?Relaaaaxxxx...hivyo vikuku mpaka kwenye Biblia kuna mahali vimeandikwa kwamba kuna mwanadada alipelekewa vikuku na pete..ni urembo tu
Nitausoma baadae nikitulia mkuuHesabu 31:50
Basi, tumeleta vyombo vya dhahabu, vikuku, bangili, pete za mhuri, vipuli na shanga ambavyo kila mtu alipata. Tumevitoa ili nafsi zetu zifanyiwe upatanisho mbele ya Mwenyezi-Mungu.”
Nami ndivyo niwaonavyoHuku wanachukuliwa waliwa tigo.
Kweli kabisaUpo sawa. Hii mitazamo huwa inatokana na idadi kubwa ya wavaaji hivyo vidude kuwa na tabia zisizofaa.
Ni sawa na ww mwanaume rijali ukavaa bukta ya pinki na kishati chekundu, mtazamo wa watu utabadilika.