Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

Mungu kakufundisha through hard way. Acheni ku generalize mambo.

Kila siku unaona watu waliovaa vikuku ni malaya (madada na wadogo wa wenzako) na hukujali uliamua kuwaona hivyo na ku conclude, sasa umemuona mdogo wako unataka ushauri wetu ili ubadili msimamo sio? Endelea kuona hivyo hivyo na umuweke mdogo wako kwenye kundi hilo hilo.
 
Mungu kakufundisha through hard way. Acheni ku generalize mambo.

Kila siku unaona watu waliovaa vikuku ni malaya (madada na wadogo wa wenzako) na hukujali uliamua kuwaona hivyo na ku conclude, sasa umemuona mdogo wako unataka ushauri wetu ili ubadili msimamo sio? Endelea kuona hivyo hivyo na umuweke mdogo wako kwenye kundi hilo hilo.
Hahahaha nimecheka sanaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wadada naombeni ufafanuzi juu ya hivi vikuku mnavyo vaa! Je mnavaa kwa fashen au mnatangaza Biashara? Mimi nawaogopa sana awa wadada wa vikuku😣😒
 
Nini madhumini na matumizi ya vitu vifuatavyo wavaapo wakina dada na akina mama katika jamii yetu?

1: Kipini cha puani a.k.a (Kishaufu) iwe kushoto au kulia
2: Kikuku iwe mguu wa kushoto au kulia au yote kwa pammoja
3: Na mwisho ni Shanga za kiunoni.

Je, waonaje? Vyapoteza maana halisi kwa wanaovaaa hole hole hole au?

Maoni yako tafadhali changia..


======================================
MAJIBU YALIYOPATIKANA
======================================

Nimeona nilete mada hii ili kuwekana sawa katika ishu ambayo inaongelewa pasipo kuwa na ufahamu wa kina. Katika mapambo yanayotumika sana ulimwenguni na tena na watu wa marika tofauti ni pamoja na vikuku na vishaufu.

=> Kuhusu vikuku miguuni

DSC07523.JPG


Kwa makabila ya kiafrika vikuku huvaliwa kuanzia na watoto wachanga, wasichana, wanawake wa makamo na hata vikongwe.

Vikuku hivyo vyaweza kuwa vya shanga, ngozi, au hata madini kama dhahabu, fedha na hata shaba. Vyaweza kuvaliwa mguu mmoja au hata miguu yote.


vikuku.jpg






=> Kuhusu uvaaji wa Vishaufu/kipini puani
attachment.php

Tukirudi kwa vishaufu, urembo huu ambao huvaliwa puani aghalabu hupatikana kwa makabila ya pwani lakini kwa miaka ya karibuni umeenea hata kwa makabila mengine hasa kwa wasichana.

=> Kuhusu uvaaji wa shanga kiunoni



Hitimisho
:
Kwanini basi naleta hii ishu tuijadili ni kwamba, hapa JF nimesoma baadhi ya wachangiaji wakihusisha hasa vikuku na mienendo isiyofaa na kuleta dhana kuwa wenye kutumia mapambo hayo basi wana ajenda nyingine.

Binafsi napenda kusema kuwa urembo wowote waweza kutafsiriwa vyovyote - kwa ubaya au uzuri ila mwisho wa siku mtumiaji/mvaaji tu ndiyo mwenye kujua maana.

Wenzangu sijui mnasemaje?
Nasikitika sijapata maana kamili ya vikuku vilianzia wapi.
 
Mi nadhani ni urembo tu vinavutia sana hususani kwa mtu mwenye mguu wa bia😀😀
 
Nadhani ni urembo kama urembo mwingine tu, japokua jamii inatafsiri potofu kwa wadada wanaovaa vikuku!
 
Huwa naowa wanawake wanaovaa vikuku kama wanakuwa na sifa flan mbaya.
First impression huwa ni muhuni malaya. Hata mke wangu hadhubutu kuvaa vikuku

Leo nimeenda home kwa wazee nimekuta mdogo wangu kavaa vikuku miguu yote miwili, nikamuuliza unavaa vikuku? Akajibu ndio. Bas nikashindwa kuendelea.

Naomben ushauri wakuu, nimwambie nin kumkanya maana nahisi si ishara nzuri kwa ustaarabu wetu na image yake
hilo jambo halishangazi sana kwa siku hizi maana imekuwa fashion
 
Back
Top Bottom