Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi shanga zinazozungumziwa hapa lazma zitakua ni zile za kiunoni.Hesabu 31:50
Basi, tumeleta vyombo vya dhahabu, vikuku, bangili, pete za mhuri, vipuli na shanga ambavyo kila mtu alipata. Tumevitoa ili nafsi zetu zifanyiwe upatanisho mbele ya Mwenyezi-Mungu.”
Ukisoma same verse in International Standard Version bible:Hizi shanga zinazozungumziwa hapa lazma zitakua ni zile za kiunoni.
Yaani nilivoona tuu na mashine imesimama
Yaani nilivoona tuu na mashine imesimama
Sana sana, mwanamke mapambo..Naona kapendeza sana mkuu.
Hongera zake.
Kweli, sababu kuna Malaya wengi tu duniani na sio wote wavaao hayo madude!Hii kitu Wanawake wa kihindi wanavaa toka kitambo na ni moja ya tamaduni zao,
Kwa wanawake wa Kibongo inaweza kua ni urembo tu na wala haihusiani na umalaya,umalaya ni tabia na tabia haihitaji kua na alama bali hua ndani ya nafsi ya muhusika.
🤣😅😂🤣😂Urembo tu haswa mwanamke awe na mguu mzuri anapendeza sana, kuna wengine wana miguu kama kijiti unakuta kavaa kina-hang like irizi.
Kwa hivyo wale Wahindi na Waarabu wengi wao wanaliwa tigo /kuuza tangu jadi au wasemaje? 😲hakuna cha urembo hapo, akivaa izo ina maana sio tu anauza, bali analiwa na tigo, plain and simple
Wayahudi walivipigilia sana hivi vyombo, ni vile tu sahi yamekuwa modernised sana ndo maana hata maana yake ikabadilika na kuonekana kuwa ni wauza K na T ndio wavaao hayo mavituz! 🤣Ukisoma same verse in International Standard Version bible:
Numbers 31:50 inasema;
We've brought offerings to the LORD from whatever each man found—jewel-encrusted gold, ANKLETS, bracelets, signet rings, earrings, and necklaces—to make atonement for ourselves in the LORD's presence."
The word anklets there actually means 'ankle bracelets'.
Hata wanaume wa kimasai wanavaaHii kitu Wanawake wa kihindi wanavaa toka kitambo na ni moja ya tamaduni zao,
Kwa wanawake wa Kibongo inaweza kua ni urembo tu na wala haihusiani na umalaya,umalaya ni tabia na tabia haihitaji kua na alama bali hua ndani ya nafsi ya muhusika.
Kwanzo upate totoz lina guu kama hilo 👇Duh basi humtoa vizuri aisee! 🤣Kuna wengine wakivaa wanapendeza ila kuna ambao wakivaa ukiwaona utadhani punda kakata kamba aliyokuwa kafungwa nayo 😊
Hivi uko sawa wewe(kiakili)!?Wanawake wote ni Malaya.Discus
Mkuu jifunze kuwa na hekima, humu ndani kuna 'baba' zako na 'mama' zako pia.Wanawake wote ni Malaya.Discus
Hapo ujue una include dada ako, shangazi ako na mama ako mzazi....unaweza kuendelea na discussion????Wanawake wote ni Malaya.Discus