Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

Tumezowea kuona baadhi ya jamii kama wamasai wakivaa shanga miguuni au vikuku kwa wanawake na bila kuwa na tafsiri mbaya katika jamii.

Ila zinapovaliwa na waswahili tunakuwa na maana tofauti. Kama ni Mwanamke basi anaonekana ni muhuni.Mwenye uelewa wa dhana hii katika jamaii em share hapa.
 
1. Ana mwanaume zaidi ya mmoja
2. Ni mshirika wa Ibada za Shirki

Last but not listed: kuna mstari mwembamba kati ya shanga zile wanazovaa na mambo ya kucheza mechi za Kinyume champion League.

Asanteni.
 
HILI ni lishaufu thatha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…