masssaiboi
JF-Expert Member
- Feb 10, 2009
- 636
- 134
mmmh,sifikirii kwa kweli,kwani mimi huo mtandao situmii.ila kwangu mimi ni urembo.na ninapovaa hainijii akilini kama nichague mguu upi wa kuvaa,maybe zamani ilikuwa hivyo,lakini siku hizi sifikirii kama watu wanatafsiri hivyo.labda story za vijiweni hizo.maofisini watu wanavaa ni watu na heshima zao
Kwani watu wakikubeep TIGO unakuwa siyo mtu wa HESHIMA???!!!!!
An anklet, ankle chain, or ankle bracelet is an ornament worn around the ankle. Barefoot anklets and toe rings historically have been worn for centuries by girls and women in Egypt and Arab world especially in Bedouin and countryside and married women in India, though in the United States both casual and more formal anklets became fashionable in the late twentieth century.
While in western popular culture both younger men and women may wear casual leather anklets, they are popular among barefoot women. Formal anklets (silver, gold, beads) are common women's fashion jewelry. Anklets are an important jewellery in Indian marriages worn along with saris.
Left or right?
In India, anklets are worn on both ankles. However, outside India most anklets seem to be worn on the right ankle. Perhaps this is due to more people being right-handed. Although in eastern cultures, anklets are worn on both ankles. Worn on the right ankle it may indicate a "hotwife" or cuckold's wife, though this is not universal by any means. But a woman at work told us she only wears it on the right due to obvious reasons - but we must be stupid because we obviously couldnt figure it out.
Hivi inamaanisha mtu atajitangaza kuwa anatumia hiyo line ya Tigo, halafu iweje? Hata kama mtu anatumia hiyo line sidhani kama ataweka hadharani kwa kila mtu, kwa hiyo wengi wanavaa kwa urembo tu.
mmmh,sifikirii kwa kweli,kwani mimi huo mtandao situmii.ila kwangu mimi ni urembo.na ninapovaa hainijii akilini kama nichague mguu upi wa kuvaa,maybe zamani ilikuwa hivyo,lakini siku hizi sifikirii kama watu wanatafsiri hivyo.labda story za vijiweni hizo.maofisini watu wanavaa ni watu na heshima zao
Waeleze hawa watu maana wamezidi na ushamba wao.Kama wanawake zao wakivaa wanatangaza upuuzi huo siyo kila mwanamke.
Ujinga mtupu.Mada hii inaletwa hapa sijui mara ya ngapi! Angalieni mada zilizopita mjue yaliyojadiliwa msitupotezee muda kujaza mabandiko yasiyo na tija.
Mods pls do what needs to be done.Unganisheni hii kuleeeee.
Engager nina mashaka na ulichosema! Ni dhahili wamba mtu hutembea na utamaduni wake, japokua hatujafika india, ila hapa kwetu wapo wahindi wengi, na wana practice tamadui zao! Mbona hatuoni vikuku? Hilo lazma litakua neno.... Kikuku kiaitwaje kwa kidhungu tugoogle hapa tutapata majibu.
Habari wana jamvi?
Mimi niko na demu wangu kwa miaka miwili sasa.
Hatuna tatizo la kimahusiano,ila kitu nataka mnisaidie ni maana halisi ya kuvaa kikuku miguuni.
Kwani tukiwa ktk mitoko flani flani huwa anapenda kuvaa,nikimwuliza kwanin anavaa anasema ni urembo tu kwa wakinadada,
jibu hilo huwa haliniridhishi kwani nikiwauliza washikaji wanadai kuvaa kikuku mguu mmoja au miwili yote inamaana yake ambayo cyo nzuri ktk jamii iliyo staharabika.
Sasa wana jf wadada kwa wakaka naombeni ukweli wa hii kitu,ili nimpe ban huyu mtu wangu kuvaa hivyo vikuku au la.
Mbarikiwe wote.
Urembo tu ina maanawamasai nao wanatumua mtandao? wala usihofu siku hizi ni vitu vya kawaida ni sidhani kama tunaiga wazungu ni sisi wenyewe. embu niambie umewaona wazungu wangapi na hivyo vikuku? huu ni utamaduni wa kiafrika ila siku hizi kama una uwezo unachonga za gold. ila ilikuwa ni shanga zaidi