Thanx mkuu, ndio nilikuwa nataka source kama hizo ili nisome zaidi.
Unajua mada nyingine cyo kuwa 2napenda kuzirudia ila ni vile wengine labda 2likuwa hatujajiunga na jf au wengine zinatupita so 2nakuwa hatuko aware nazo.
Thanx again 4ur concern.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zantel
Kwani watu wakikubeep TIGO unakuwa siyo mtu wa HESHIMA???!!!!!
naombeni ukweli wa hii kitu,ili nimpe ban huyu mtu wangu kuvaa hivyo vikuku au la.
.
...But a woman at work told us she only wears it on the right due to obvious reasons - but we must be stupid because we obviously couldnt figure it out.
unataka hadi akuambie line yangu ya Tigo ipo bize? wewe kama hujui kosoma basi angalia tu hata picha
Kuvaa kikuku mguuni ni utamaduni wa INDIA. Msichana wa India huvaa kikuku mguuni kuashiria kuwa AMECHUMBIWA na HATAKI MWANAUME AMSUMBUE (tofauti na mchumba wake). Kwa India kikuku ni heshima kubwa kwa Msichana. Ila Bongo mmhh.. MAIGIZO TU.
salaam kwenu wana JF espesialy wadau wa MMU...kuna kitu kinanitatiza nacho ni tabia ya wadada wanao vaa cheni mguu wa shoto,hivi ina maanisha nini?natumaini mawazo na ushauri wenu vita nisaidia.....
kwa nini? wakati baadhi ya watu wana vaa afu ile mashallahInamaanisha "achana na mambo yetu hayakuhusu."
sawa babu ila unaweza ona mtoto kasimama....si unajua nyumba ina sifiwa choo? alafu katupia kicheni mguu wa shoto then mtu anakwambia...."yule ukimchukua mkifika kitandani huulizi una jeuza tu ndo signal yao"Mkuu mambo ya Lamu waachie wakazi wa Lamu!!!:tape: