Hivi watu bado hamjavizoea tu hivo vikuku? Tafsiri yangu ni urembo tu hata nikimuona mtu kavaa simshangai!
hapo sasaNdio maana mimi sitafuti kilicho kabatini kwa wife, kwenye pochi zake au simu yake. Utakuta vitu vya kukutia presha. Hata ukimwacha karibu wote wako hivyo hivyo. Tulia na unachokiona, usichokiona hakitakusumbua.
Hata sisi bili zetu za vikao vya jioni zingefika nyumbani!!
hiii ni noma yaani angechunguza vizuri angekuta hata
wife wanamkameroon wakati yeye hajawahi kwenda
kwa Cameroon
Mwanamke 1 alyjkana kwa jina la Rose,mwisho wa wiki iliypta alitimuliwa na mumewe baada ya kukutwa na rundo la shanga zinazodaiwa aliazima kwa ajili ya kumridhisha buzi wakati wa ku sex,mumewe huyo alizifuma shanga hzo zkiwa zmfchwa chini ya godoro na inadaiwa kwamba alimhuhumu mkewe kuwa amekuwa akizivaa anapokwenda kwa buzi lake kwani hakuwahi kumuona akizivaa akiwa maye wakifanya mapenzi!!