kwa hiyo ukiona shanga tu,mkulu anasimama.mhh! Je ukiona bikini si utautupa kabisa.
Ulikumbuka hoja iliyokuwa inajadiliwa mkutanoni au ndio netiweki ilipotea kabisa...................................Ungeona chupi je.......
Jamani Jana nimeona dada tunafanya naye kazi amevaa shanga nyingi sana ikiwa ni wakati wa kazi, Ilinitokea tukiwa tunajadili suala la kazi ofisini aliweza kuangusha kalamu yake na alipooiokota shanga zote zilitokea. Mimi kwa kuwa ni mwanaume mkamilifu MASHINE YANGU ilisimama kabisa na kutokwa na ute mdomoni.
Je hii tabia ya dada zetu katika mavazi inalipeleka wapi taifa letu. Nini maoni yenu ingawa mimi nilishindwa kumueleza kwa suala hilo.
Jamani Jana nimeona dada tunafanya naye kazi amevaa shanga nyingi sana ikiwa ni wakati wa kazi, Ilinitokea tukiwa tunajadili suala la kazi ofisini aliweza kuangusha kalamu yake na alipooiokota shanga zote zilitokea. Mimi kwa kuwa ni mwanaume mkamilifu MASHINE YANGU ilisimama kabisa na kutokwa na ute mdomoni.
Je hii tabia ya dada zetu katika mavazi inalipeleka wapi taifa letu. Nini maoni yenu ingawa mimi nilishindwa kumueleza kwa suala hilo.
Jamani Jana nimeona dada tunafanya naye kazi amevaa shanga nyingi sana ikiwa ni wakati wa kazi, Ilinitokea tukiwa tunajadili suala la kazi ofisini aliweza kuangusha kalamu yake na alipooiokota shanga zote zilitokea. Mimi kwa kuwa ni mwanaume mkamilifu MASHINE YANGU ilisimama kabisa na kutokwa na ute mdomoni.
Je hii tabia ya dada zetu katika mavazi inalipeleka wapi taifa letu. Nini maoni yenu ingawa mimi nilishindwa kumueleza kwa suala hilo.
Haswaaaaaa!Green--Mdada kainama (yani tuchukulie kainama fast kuokota kalamu lakini wewe macho yako yalikuwa fasta kukolekt data na kuzituma ubongoni hadi ubongo kutrigger hiyo response...For that to happen ni lazima ulikuwa unmeshaanza kumvua nguo mawazoni zamani, wala usisingizie shanga)
macho yako yalifuata nini kiunoni ilhali unajua ni lazima utaona vitu ambavyo si appropriate wewe kuona?
Red--Being a real man has nothing to do with your failure to control your body organs...
Ungekuwa kwetu yakhe yaani ungekuwa umebaka
Huu ni urembo wa asili toka enzi za mababu
Ungekimbilia kuzihesabu :cool2:
Yaani hiyo "binduki" isimame eti kwa kuona shanga!!!! Mbona haijakaa vizuri! Utaweza kumwogesha mwanao wa kike wewe kweki???