Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

pole sana zamani watu walikua hawavai hata kitu zaidi ya vibwaya
na kulikua hamna shida.
 
Huwezi kuwa mwanaume MKAMILIFU kaka.. Acha kutudanganya! Binadamu sote tumeridhi dhambi hivyo hatujakamilika..!!! Ungesema mwanaume rijali.!!! Halafu tumia mda wako vizuri unapokua kazini wengine tunafuatilia hizo kazi kwa msoto kwelikweli utafikri mali ya urithi bwana
 
kwa hiyo ukiona shanga tu,mkulu anasimama.mhh! Je ukiona bikini si utautupa kabisa.

Si unajua tena ukame nao tabu tu, Siku nipata mke labda sitakuwa na fast attraction. Lakini alipoinama kuokota pen wala sikuwa na wazo la kumuangalia lakini kwa kuwa alikuwa pembeni yangu macho hayana pazia
 
Ulikumbuka hoja iliyokuwa inajadiliwa mkutanoni au ndio netiweki ilipotea kabisa...................................Ungeona chupi je.......

Baadhi ya agenda zilinipita kabisa maana sijawahi ona shanga kiuoni na mchirizi ya kike.
 
Sasa kijana tukikupeleka kwetu Tanga ukawe mgeni rasmi kwenye Baikoko si utatoa ndoo nzima ya huo ute? manake kama ni shanga kule ni vazi la lazima ati!
 
Jamani Jana nimeona dada tunafanya naye kazi amevaa shanga nyingi sana ikiwa ni wakati wa kazi, Ilinitokea tukiwa tunajadili suala la kazi ofisini aliweza kuangusha kalamu yake na alipooiokota shanga zote zilitokea. Mimi kwa kuwa ni mwanaume mkamilifu MASHINE YANGU ilisimama kabisa na kutokwa na ute mdomoni.

Je hii tabia ya dada zetu katika mavazi inalipeleka wapi taifa letu. Nini maoni yenu ingawa mimi nilishindwa kumueleza kwa suala hilo.

wacha wavae shanga zao. wewe mchunguliaji ndo uulizwe wataka kupeleka wapi taifa letu?. alipoinama ungeona rib ya chupi, unge lalamika?. kwanini ujishughulishe kutazama mtu akiwa ameinama?.

ustaarabu ni huu,
unaweza elekeza macho yako kwa mtu akiwa ktk hali ya kawaida, unaona mtu ameinama , au ana jaribu kufikia kitu kilicho juu, acha kutazama movement za nguo au viungo vyake. wewe ndo unatabia mbaya. aidha unapoona sehemu ya siri ya mwanadamu na unafahamu hakudhamiria kukuonyesha, ni bahati mbaya, hutakiwi kusimulia na kulaumu, lakini wewe kupata msisimko hilo ni lako, pata msisimko mezea, siyo kulalama juu ya underwear za watu
 
kazi ipo, yaani unaona shanga tu mimacho inakutoka
 
Jamani Jana nimeona dada tunafanya naye kazi amevaa shanga nyingi sana ikiwa ni wakati wa kazi, Ilinitokea tukiwa tunajadili suala la kazi ofisini aliweza kuangusha kalamu yake na alipooiokota shanga zote zilitokea. Mimi kwa kuwa ni mwanaume mkamilifu MASHINE YANGU ilisimama kabisa na kutokwa na ute mdomoni.

Je hii tabia ya dada zetu katika mavazi inalipeleka wapi taifa letu. Nini maoni yenu ingawa mimi nilishindwa kumueleza kwa suala hilo.

Ki-uungwana, sidhani kama ni tabia njema kuonyesha shanga hadharani, maana ktk hali ya sasa hizo shanga hutumika faragha so hupewa heshima tu kama zile nguo zinazositiri viungo vya siri!
Ila kwa maelezo yako, ni kuwa dada wa watu alikuwa amejihifadhi vzr ila bahati mbaya baada ya kuinama ndiyo hali ikawa hivyo. Ni kawaida wakati wa kuinama wadada baadhi ya sehemu au nguo huonekana kutokana na aina ya nguo wanazofaa hivyo ni vzr wao wawe makini wanapoinama na pia hata wewe ujue kuwa hiyo ni hali inayoweza kutokea wakati wa kuinama kwa akina dada. Ondoa mawazo kwenye ngono, itakusaidia kuconcentrate na kazi ...

Nisingependa kumlaumu kwa kuvaa hizo shanga maana inawezekana alikuwa na appointment na mwandani wake mara baada ya kumaliza majukumu yake ya siku hiyo ...
 
Duh! Hizo shanga zikoje? Na zinavaliwa kwa ajili gani? Nasikiaga lakini sielewagi nisaidieni jamani.
 
Jamani Jana nimeona dada tunafanya naye kazi amevaa shanga nyingi sana ikiwa ni wakati wa kazi, Ilinitokea tukiwa tunajadili suala la kazi ofisini aliweza kuangusha kalamu yake na alipooiokota shanga zote zilitokea. Mimi kwa kuwa ni mwanaume mkamilifu MASHINE YANGU ilisimama kabisa na kutokwa na ute mdomoni.

Je hii tabia ya dada zetu katika mavazi inalipeleka wapi taifa letu. Nini maoni yenu ingawa mimi nilishindwa kumueleza kwa suala hilo.

kudindisha kisa SHANGA??????weweeee
 
Green--Mdada kainama (yani tuchukulie kainama fast kuokota kalamu lakini wewe macho yako yalikuwa fasta kukolekt data na kuzituma ubongoni hadi ubongo kutrigger hiyo response...For that to happen ni lazima ulikuwa unmeshaanza kumvua nguo mawazoni zamani, wala usisingizie shanga)
macho yako yalifuata nini kiunoni ilhali unajua ni lazima utaona vitu ambavyo si appropriate wewe kuona?
Red--Being a real man has nothing to do with your failure to control your body organs...
Haswaaaaaa!
 
Yaani hiyo "binduki" isimame eti kwa kuona shanga!!!! Mbona haijakaa vizuri! Utaweza kumwogesha mwanao wa kike wewe kweki???
 
Pole aisee, naona alijisahau au hakuzibana vizuri na tait au chupi, unajua zile huwawezi kuwa wanavua na kuvaa, akishavaa ndo ntolee hadi zikatike
 
ha ha ha ha, kuna majibu hapa yanachekesha, mmeifanya siku yangu.
 
Ungekuwa kwetu yakhe yaani ungekuwa umebaka
Huu ni urembo wa asili toka enzi za mababu

Wapi huko. Niambie. Kwa kweli ziliniumiza sana. Ama kweli mwanamke akivaa hivi vitu ni adimu sana kwangu ndo maana nikatamani tu lakini mungu anisamehe kwa kutamani
 
Back
Top Bottom