Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

Macho yako hayakuona popote kwengine zaidi ya hapo? na hapo hapo ukaanza kutokwa na mate kama umeona embe mbichi!
loh asara sasa ukiziona kwa wamasai pia au zinapokua kiunoni tuuuuuuuu?
 
Dudu limesimama kwa ajili ya shanga tu? una matatizo ndugu yangu, huo ukame wakeo huo utatubakia watoto wetu wewe
 
Jamani Jana nimeona dada tunafanya naye kazi amevaa shanga nyingi sana ikiwa ni wakati wa kazi, Ilinitokea tukiwa tunajadili suala la kazi ofisini aliweza kuangusha kalamu yake na alipooiokota shanga zote zilitokea. Mimi kwa kuwa ni mwanaume mkamilifu MASHINE YANGU ilisimama kabisa na kutokwa na ute mdomoni.

Je hii tabia ya dada zetu katika mavazi inalipeleka wapi taifa letu. Nini maoni yenu ingawa mimi nilishindwa kumueleza kwa suala hilo.

Ulijitakia mwenyewe kwanini uangalie ilihali mtu ameinama na unayajua matatizo yako? Alafu isitoshe swala la kuvaa shanga ni personal sana hakuna mtu awezaye kuliingilia. Dada zangu endeleeni kuvaa shanga hata maofisini ili mzizoee sana kiasi kwamba siku usipozivaa unajistukia. Binafsi napenda sana shanga hata zikifungwa kwenye kigogo.
 
Unafanya Kazi wapi nilete Apilikesheni zangu za kuomba kazi. Baadhi yao wanaovaa Shanga huwa watamu sana.
wanangu nilianza wavalisha toka wana miezi 6, ili nigawe nyonga, basi naona hao wangu watazidi asali kha!
 
shanga tu zimekupandisha midadadi, angekaa vibaya ukaona ............. si ungembaka?
 
Duh! Hizo shanga zikoje? Na zinavaliwa kwa ajili gani? Nasikiaga lakini sielewagi nisaidieni jamani.

Kwa kweli hata mimi nasikia tu wanawake wanavaa shanga sasa sijui zinasaidia nini? Mengine ni mapepo tu jamani kuweni na akili.
 
Unajua nimefuatilia huu uzi na nimeshindwa kuelewa kwamba Kisendi hataki wanawake wavae shanga wakiwa ofisini au alikuwa anataka kusema nini, nomba kujuzwa kama shanga wanawake hawatakiwi kuvaa wakiwa ofisini, kwenye dala dala and sokoni.
 
Last edited by a moderator:
mbona zamani zilionekana wakati wote..??? NA UACHE KUCHUNGULIA VIUNO VYA AKINA DADA..! UWE UNAANGALIA USONI..!

Macho hayana pazia, pia kwanini na yeye avae vitop vifupi vinavyowafanya waache viuno nje!!
 
Green--Mdada kainama (yani tuchukulie kainama fast kuokota kalamu lakini wewe macho yako yalikuwa fasta kukolekt data na kuzituma ubongoni hadi ubongo kutrigger hiyo response...For that to happen ni lazima ulikuwa unmeshaanza kumvua nguo mawazoni zamani, wala usisingizie shanga)
macho yako yalifuata nini kiunoni ilhali unajua ni lazima utaona vitu ambavyo si appropriate wewe kuona?
Red--Being a real man has nothing to do with your failure to control your body organs...

Mwelze huyo mwanaizaya, nadhani hata akiona hii avatar yangu anakuwa kwishnehi
 
kweli umedhihilisha udhaifu ... sasa chachandu ngoma inasimama je ukiona paja ??? mwanzo na ndo dalili za kubaka
 
kitu HUJAWAH ONA kinakutoa mate aiseee!!! Kwi kwi kwi kwi kwi! Rudia kunidanganya nduguu
 
Shanga za mtu tena kwenye kiuno chake zinakuhusu nini?
 
Back
Top Bottom