kazi ipo, yaani unaona shanga tu mimacho inakutoka
Jamani Jana nimeona dada tunafanya naye kazi amevaa shanga nyingi sana ikiwa ni wakati wa kazi, Ilinitokea tukiwa tunajadili suala la kazi ofisini aliweza kuangusha kalamu yake na alipooiokota shanga zote zilitokea. Mimi kwa kuwa ni mwanaume mkamilifu MASHINE YANGU ilisimama kabisa na kutokwa na ute mdomoni.
Je hii tabia ya dada zetu katika mavazi inalipeleka wapi taifa letu. Nini maoni yenu ingawa mimi nilishindwa kumueleza kwa suala hilo.
wanna brag?Jamani Jana nimeona dada tunafanya naye kazi amevaa shanga nyingi sana ikiwa ni wakati wa kazi, Ilinitokea tukiwa tunajadili suala la kazi ofisini aliweza kuangusha kalamu yake na alipooiokota shanga zote zilitokea. Mimi kwa kuwa ni mwanaume mkamilifu MASHINE YANGU ilisimama kabisa na kutokwa na ute mdomoni.
Je hii tabia ya dada zetu katika mavazi inalipeleka wapi taifa letu. Nini maoni yenu ingawa mimi nilishindwa kumueleza kwa suala hilo.
mijitu mingine sijui ya wapi???Shanga za mtu tena kwenye kiuno chake zinakuhusu nini?
Unajua nimefuatilia huu uzi na nimeshindwa kuelewa kwamba Kisendi hataki wanawake wavae shanga wakiwa ofisini au alikuwa anataka kusema nini, nomba kujuzwa kama shanga wanawake hawatakiwi kuvaa wakiwa ofisini, kwenye dala dala and sokoni.
demu mmoja kafukuziwa kwa muda sana.baadae akaja akaacept offer.ishu ikawa kutoa mzigo sasa,kabaana sana kwa madai yeye ni bikra kabisa mwanaume hamjui. Cku ya kutimba getto ilikua poa kwa mwanaume akijua leo kapata kitu roho inapenda.baada ya maongez flan na kumrubuni mtoto akakubali kuachia mzigo.dah ile anavua chakushangaza mtoto ana shanga km 10 kiunoni tena za kienyeji.sasa hii cjui imekaaje hapa.