Thanx BAK, yaani sichoki kuuangalia huu mguu lol, hapa mie mwanamke sijui nyie wanaume labda kwa vile macho yanatofautiana kutazama na kipenda ni roho, ila mmmh ningekuwa mwanaume huu ungekuwa udhaifu wangu kwa wadada. Siuoni mguu kwa juu ila ulivovalishwa kikuku aaaah mashallah!! I like it.
...Mkuu sakapal hili huitwa GUU na watoto wa mjini...utawasikia wakisema, "Umeliona Guu lile?" sasa likiwa ndani ya kimini na cheni basi ndio huvutia zaidi na kuwaacha wakaka wakilimezea mate.
Guu la bia lolest, kweli napenda sana miguu hii ya bia na as u say inavutia hasa ndani ya min skirt au kwenye skirt ndefu ya jeans na inampasuo kwa mbele au nyuma unaoonesha mguu from chini tu juu ya goti kidogooo, we acha tuu, kungekuwa na miguu ya kichina kama watu wanavoweka hips na wowowo ningeweka kwa kweli nitupie na kikuku kwa pembeni yaani ningekuwa najifurahia menyewe heheheheeee
Yani we wacha tu mimi ndo zangu hizo nikiona mwanamke ana mguu mzuri kama huo najua wazi hata kule ikulu kuna mnato si wa kawaida 😛oaThanx BAK, yaani sichoki kuuangalia huu mguu lol, hapa mie mwanamke sijui nyie wanaume labda kwa vile macho yanatofautiana kutazama na kipenda ni roho, ila mmmh ningekuwa mwanaume huu ungekuwa udhaifu wangu kwa wadada. Siuoni mguu kwa juu ila ulivovalishwa kikuku aaaah mashallah!! I like it.
Aaa jamani,, ata mm navaa miguu yote miliwi,, na watu wanapenda tu kuongea sivyo ndivyo,,
Hakuna jibu ambalo ni
applicable kwa watu wote, kila mtu huvaa kwa dhamira yake binafsi.
Kwahyo ili kujua jibu mfate anayevaa ndo atakupa jibu kamili
Mkuu mimi ni mgeni kwenye hiyo sanaa, lakini si kwa kiasi unachofikiria!