Ambassador
JF-Expert Member
- Jun 2, 2008
- 933
- 75
Kuna baadhi ya wadada (hata wamama) wanapenda kuvaa cheni au kiushanga kwenye mguu au miguu yote miwili. Nimejaribu kuuliza nikaambiwa ni mapambo tu. Baadhi ya watu wanasema ukiona hivyo ujue tigo inaruhusiwa hapo. Wataalamu wa haya mambo naomba mniweke wazi nisijechekwa mwenzenu.
Ni mapambo tu. Hata X-gf wangu alikuwa anavaa lakini hana huo mchezo!
Ulijuaje hana mchezo huo kwa wajuvi!?
Na kwa wanaume wavaao hizo cheni / shanga miguuni?
Nazungumzia x-gf wangu hapa, kwa hiyo nina uhakika na ninachokisema mkuu!!
Na kwa wanaume wavaao hizo cheni / shanga miguuni?
Ni mapambo tu. Hata X-gf wangu alikuwa anavaa lakini hana huo mchezo!
Zamani ilikuwa ukivaa mguu wa kushoto unaliwa jicho la samaki na ukivaa mguu wa kulia ni daima mbele tu. Siku hizi ni urembo tu hakuna jipya.
Nimekusoma ni XGF wako akisepa kwako akiniimbia mimi utajuaje hatoi kisamvu?
dirty!
..Mh! Hiyo ni mupya kabisa lazima yatakuwa mabwabwa hayo....Duh!Na kwa wanaume wavaao hizo cheni / shanga miguuni?
Mkuu mimi ni mgeni kwenye hiyo sanaa, lakini si kwa kiasi unachofikiria!
Hahaha kubali kuwa wewe ni slow lena hukuwa na huo ubunifu kwa X-GF
nakubaliana na nyie kabisaaa
Hahaha kubali kuwa wewe ni slow lena hukuwa na huo ubunifu kwa X-GF