Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

Hio kitu mie hunisisimua vibaya...Hebu Zinduna, Munkari....ni pm pics ya hizo shanga hasa za kiunoni...
 
Last edited by a moderator:
naona topic za kutiana nyege zimepamba moto sana humu........

haya nyie endeleeni tu...........
 
Huku kwetu ukivaa hivo vicheni na.vikuku maana ake unauza 0713.....
Tena muguu yote maana ake halis unatoa kote kote ukivaa mmoja pekee unatoa nyuma pekee
 
Huku kwetu ukivaa hivo vicheni na.vikuku maana ake unauza 0713.....
Tena muguu yote maana ake halis unatoa kote kote ukivaa mmoja pekee unatoa nyuma pekee

Hahahah....mi kwa kweli watu wanaovaa cheni mguuni daah sijui huwa nawaonaje
 
Kuna mama mmoja ameteuliwa kuwa jaji wa mahakama kuu kabla ya hawa wa juzi yeye alikuwa anavaa hivi vikuku; sijui kama bado anavivaa huko mahakamani Mwanza!!!
 
Hadi ww mtoto wa kitanga....mbona nasikia ninyi kwa kujipamba ndio wenyewe

Unajua nin kujipamba nako n.kipaji halaf n.hulka ya mtu binafs siwez vaa vitu vya mikononi mguun kwanza ni utira huo halaf tafsir inakua tofaut majishangingi ya mji na baadh ya manyakanga ndo zao hizp.sio kwa wote binafs sifany hiv vitu
 
ki-stereotype: kama kavaa miguu miwili ni kuonyesha kwamba hata mlango wa nyuma uko waz.... (wengi husema hivyo)
 
 
mashoga nao wanavaaga hayo makuku cjui mabata hata sijui ila ni watoa tgo tu hakuna kingne.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…