Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

Umetisha kaka. Kila mtu na uchizi wake japo Moshi hakunaga hayo mambo. Mchaga hanaga mbwembwe kbs

Mkuu wachaga wakifika huku (Dar) wanabadilika,vigodoro wao,shanga wanavaa na hata taarabu wanaenda.
 
Uchafu tu
Pole mkuu,huo unaousema uchafu wenzio unatusisimua na kuifanya mechi kunoga. Huo unaouita uchafu sisi tunachukulia sawa na mashabiki washangiliao uwanjani wakati wa mechi.
 

hata machangu wengi sana.wanavaa tuu
 
Shanga zamani zilitumika kama ishara flani kwa mwanamke akizivaa aidha shingoni au kiunoni,mfano mwanamke akivaa shanga nyekundu anaanisha yeye yuko kwenye siku zake za hatari(hedhi) , ila akivaa nyeusi hapo anamaanisha hazielewi siku zake za hatari labda kwa kuchelewa kuonekana! Lakini akivaa nyeupe hapo ukiomba mechi unapata shangaa hizi kama huvaliwa shingoni au kiunoni ,zamani wanawake walikuwa wana lazimishwa hasa kwenye masuala ya mapenz, so walikuwa wanatumia shanga kuonesha ishara zao

Mr.asubuhi
 
raha ya shanga ukivaaa kiuno ujue kukata
kati ya hiz za kawaida na gold/silver ipi inakuvutia or nyegggesha?
 
Ebu tujuze kwenu umasai huko ninyi mkivaa kunaishara gani na kwashanga zip

sijakulia kwenye tamaduni za kimazai hata chembe
nimekulia kwa wangoni
so nina tamaduni za kiswahili tu

but nilivyovunja ungo kwa mara ya kwanza nilipewa ushanga wenye rangi nyekundu baadae nikapewa mweupe
so as ninavuokua zikanibana
then,..,,
usiuloze kama now ninazo au sina
ila mwanamke akiolewa(kwa maana ndo anaanza kudo) lazima avae shanga za kupendeza na ziwe safi na zikae kwenye kiuono vyema
 

Ok,ila hawajawahi kukufunza matumizi ya shanga kwa ishara labda! Wanzuko wenyu
 
Ok,ila hawajawahi kukufunza matumizi ya shanga kwa ishara labda! Wanzuko wenyu

sijawahi kufundishwa
mi nadhani nachojua ni kimoja tu so far ukiolewa lazima uwe nazo

hhahhah matumizi sijui ila kwa kiswahili kidogoo nasikiaga wadau wakisema ukivaa shanga ujue kukata
 
sijawahi kufundishwa
mi nadhani nachojua ni kimoja tu so far ukiolewa lazima uwe nazo

hhahhah matumizi sijui ila kwa kiswahili kidogoo nasikiaga wadau wakisema ukivaa shanga ujue kukata

Haahaha du, kukatika tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…