Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

Hivi hayo mashanga huwa yanavaliwa kama urembo au huwa yanavaliwa kwa sababu zingine?

Manake mimi nayaona kama mauchafu uchafu tu....kama mahirizi flani hivi.
 
Ukiona vile basi ujue analake jambo, mkamateni mfinye (mbinueni) ataacha mwenyewe kuwaonyesha tena.
 
NAPENDA KUWASHURU WANA JF WOTE KWA SHAURI ZENU NZURI ZA KUIMARUSHA AKILI ZA WATU.

Leo kuna mdada mmoja jirani amevaa shanga kiunoni kama mzigo vile ila cha kushangaza huwa anaziachia wazi mpaka inapelekea watu tunataka kuwasaliti wake zetu,nje tufanyaje na isitoshe tumemshauri mara kibao lakinihasikii na yeye wakati huo ni mke wa mtu.


Mkuu ndiyo kwanza umebalehe au? Shanga za kiunoni zisikubabaishe kwani wadada wengi huvaa zile kama hirizi ya kuiba wanaume. Ukiwa mjinga na kutembea na mdada aliyevaa shanga, basi jiandae kuacha mkeo bila kupenda....utakuja kushituka una ngoma na demu kakuacha unaugua peke yako. Wadada wengi wenye kuvaa shanga ni makahaba na walioshindikana, baada ya kuchoka ukahaba wanatafuta waume za watu kwa kujidanganya kuvaa shanga kumbe ni hirizi za kuwapumbaza wanaume vicheche.
 
Back
Top Bottom