Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

Cc binti kiziwi

B. Kiziwi hii ya weight alert ni sababu kubwa nyingine inayonifanya niwe na chochote kiunoni.
Napendelea zaidi gold chain lakini shanga naweka once in a while. Zinasaidia kama hutaki kupanda kwenye scale mara kwa mara.
Ninachofanya ni ku make sure measurements ziko same, zikinibana najua nimeongezeka so kama nataka kupungua au kubaki the same I work on it.
Chain inapendeza kama umevaa tight jeans or stretch pants halafu uitoe nje, iwe kama inaonekana kwa bahati mbaya vile...
Heaven Sent Douta njoo uchukue somo huku upunguze ushamba
 
Darasa muhimu Douta..mana kwa ushamba wako ww naweza kukukabidhi zen nikakukuta umevaa shingoni
Heheheheheh[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji126] [emoji126] [emoji126]
 
Back
Top Bottom