Wonderful
JF-Expert Member
- Apr 8, 2015
- 7,347
- 5,986
Ohooooo, kumbe wachaga hawavaagi eeh!sasa hicho kiuno cha kichaga nivalishe shanga unanitaka nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ohooooo, kumbe wachaga hawavaagi eeh!sasa hicho kiuno cha kichaga nivalishe shanga unanitaka nini?
mimi sivaagi kabisaOhooooo, kumbe wachaga hawavaagi eeh!
Kwanini sasa? Mbona unapunguza utamu?mimi sivaagi kabisa
nahisi zitakuwa zinanitekenya niakaanza kucheka cheka hovyoKwanini sasa? Mbona unapunguza utamu?
Itabidi nianzishe topic sasa maana hakuna namna!
Duh. We kiboko. Mie huwa nazipenda sana mtu akivaa.nahisi zitakuwa zinanitekenya niakaanza kucheka cheka hovyo
mkuu mimi natekenyeka sanaDuh. We kiboko. Mie huwa nazipenda sana mtu akivaa.
😛😛😛Ebu ni PM kwanza!?nahisi zitakuwa zinanitekenya niakaanza kucheka cheka hovyo
ha hah ahaha ha😛😛😛Ebu ni PM kwanza!?
Heaven Sent Douta njoo uchukue somo huku upunguze ushambaCc binti kiziwi
B. Kiziwi hii ya weight alert ni sababu kubwa nyingine inayonifanya niwe na chochote kiunoni.
Napendelea zaidi gold chain lakini shanga naweka once in a while. Zinasaidia kama hutaki kupanda kwenye scale mara kwa mara.
Ninachofanya ni ku make sure measurements ziko same, zikinibana najua nimeongezeka so kama nataka kupungua au kubaki the same I work on it.
Chain inapendeza kama umevaa tight jeans or stretch pants halafu uitoe nje, iwe kama inaonekana kwa bahati mbaya vile...
Hahaha hili eneo nina ushamba haswaa. Labda ningevaaga coz of urembo na sio kama weight alert , maana na huu umodel wa mwanao mwili wenyewe hauongezeki teh.Heaven Sent Douta njoo uchukue somo huku upunguze ushamba
Teh teh..Basi ntakuletea zawadi kwenye bd yako ujaribuHahaha hili eneo nina ushamba haswaa. Labda ningevaaga coz of urembo na sio kama weight alert , maana na huu umodel wa mwanao mwili wenyewe hauongezeki teh.
Teh mbona bd ipo mbali sana, au nitafute bd nyingine hapa katiTeh teh..Basi ntakuletea zawadi kwenye bd yako ujaribu
Mbona kama umezipania sana Douta Teh..Basi tafuta kaevent chochote nikupatie...Usije ukaachika bureTeh mbona bd ipo mbali sana, au nitafute bd nyingine hapa kati
Teh daddy chezea kuachika! !!Mbona kama umezipania sana Douta Teh..Basi tafuta kaevent chochote nikupatie...Usije ukaachika bure
Basi Douta..Ntakufanyia mpango..Ila nenda kozi sasa ujue matumizi yake..Daddy hawezi kukupa hilo somoTeh daddy chezea kuachika! !!
Teh daddy wewe nikabidhi tu mzigo wangu, hayo mengine ntajua mwenyeweBasi Douta..Ntakufanyia mpango..Ila nenda kozi sasa ujue matumizi yake..Daddy hawezi kukupa hilo somo
Darasa muhimu Douta..mana kwa ushamba wako ww naweza kukukabidhi zen nikakukuta umevaa shingoniTeh daddy wewe nikabidhi tu mzigo wangu, hayo mengine ntajua mwenyewe
Heheheheheh[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji126] [emoji126] [emoji126]Darasa muhimu Douta..mana kwa ushamba wako ww naweza kukukabidhi zen nikakukuta umevaa shingoni
Inatekenya sana, inapandisha kabisa hahahahah we kiboko miss chagga,nahitaji ufafanuzi wa ndani njo pmmkuu mimi natekenyeka sana