Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

Hilo la vikuku halina ukweli,wapo wasiovaa na huo mtandao wa robo shilingi wanatoa.......:car:
 
Acha uzushi na siku nyingine usilete upuuzi kama huu hapa.Kama imekutokea wewe usidhani kila anayevaa pambo hili ni mmoja wa hao wako waliokutokea.

Kwa faida yako na wengineo, huwezi kumsoma mtu kitabia kwa jinsi alivyojipamba. Udhaniaye ndiye basi utakuta siye and vice versa. Kuna wengine wana fikra mbaya au potofu na hawa wanaposikia "tetesi" basi hawakawii kuanza kusema ni "ushahidi".

Katika kila jamii hapakosekani watu wenye mitindo ya maisha iliyo nje ya kawaida.Watu kama hawa hawawezi kutofautishwa na wengine kwa maana ya mavazi au mapambo.Inapotokea wanaonekana nao wamejipamba kama " wengine" basi wenye akili finyu hurukia kutoa tafsiri ambazo hazipo kama mnavyosema hapa.Kwa taarifa yenu vikuku, vishaufu, hereni ( hata wanaume huvaa siku hizi) za masikio na hata sehemu nyingine za mwili ni pambo tu linaloweza kuvaliwa na mtu yeyote bila kutangaza chochote.

Hatuwezi kuacha kuvaa mapambo yetu ati kwa vile kuna watu wachache wasiojua, wanaeneza tetesi na uvumi.......

Acha kuwaka mwana JF! haya mambo yapo kwenye jamii yetu tunayoishi, huwezi kukataa! Na hao wanaume wanaovaa heleni nao wamo kwenye kundi hilo hilo
 
Semeni mtakavyo... vitavaliwa tu.Mtakalia Ohh robo shilingi..mara anacheza kotekote...so what?
Huwezi kuiwekea kidhibiti akili ya mtu kuwaza na kufikiria atakavyo.
 
Jumamosi ya juzi nilienda kumtembelea jamaa yangu mmoja nikakuta akiwa kwenye ugomvi makali na mkewe baada ya kugundua kuwa mkewe anavaa vikuku (cheni za miguuni) tena kwa siri. Jamaa alikuwa anahoji iweje mkewe avae vikuku wakati huwa vina portrain bad message kwa watu. Walisimamisha ugomvi baada ya mimi kufika.

Baadaye huyu ndugu alinitafuta kuhoji na kuomba ushauri kwa nini mkewe avae vikuku na tena kwa siri - Pale ambapo mumewe kaondoka kwenda kazini!

Nimeona nililete kwenu mnisaidie yafuatayo:
1. Uvaaji wa vikuku una madhara gani au unabeba message gani?
2. Ushauri possibly reasons za kwanini mkewe huyu ndugu huvaa vikuku kwa siri
3. Hatua gani achukue kwa mkewe kuhusiana na hili.

=============

Habari tena wana JF wenzangu! Waswahili walisema elimu bahari huwezi yote kujua..!

Leo nataka kuwauliza tu akina dada na hata akina baba kama wewe unajua kuhusiana na hii kitu!

WAKINA DADA WANAOVAA CHENI MIGUUNI. unaweza kuta kavaa mguu mmoja au yote miwili wao wanaita (VIKUKU) huwa zina ashilia au kumanisha nini? Huku mtaani midume huwa tuna danganyana sana juu ya hii kitu Wengine husema ukimuona anazo pande zote huyo homosexual, Ebu tupeni ukweli wana dada au ni urembo tu kama heleni....?!
*Naomba kuwasilisha hoja*

Habari wana jamvi?
Mimi niko na demu wangu kwa miaka miwili sasa.
Hatuna tatizo la kimahusiano,ila kitu nataka mnisaidie ni maana halisi ya kuvaa kikuku miguuni.
Kwani tukiwa ktk mitoko flani flani huwa anapenda kuvaa,nikimwuliza kwanin anavaa anasema ni urembo tu kwa wakinadada.

Jibu hilo huwa haliniridhishi kwani nikiwauliza washikaji wanadai kuvaa kikuku mguu mmoja au miwili yote inamaana yake ambayo cyo nzuri ktk jamii iliyo staharabika.

Sasa wana jf wadada kwa wakaka naombeni ukweli wa hii kitu,ili nimpe ban huyu mtu wangu kuvaa hivyo vikuku au la.

Mbarikiwe wote.
 
Habari wana jamvi?
Mimi niko na demu wangu kwa miaka miwili sasa.
Hatuna tatizo la kimahusiano,ila kitu nataka mnisaidie ni maana halisi ya kuvaa kikuku miguuni.
Kwani tukiwa ktk mitoko flani flani huwa anapenda kuvaa,nikimwuliza kwanin anavaa anasema ni urembo tu kwa wakinadada,
jibu hilo huwa haliniridhishi kwani nikiwauliza washikaji wanadai kuvaa kikuku mguu mmoja au miwili yote inamaana yake ambayo cyo nzuri ktk jamii iliyo staharabika.
Sasa wana jf wadada kwa wakaka naombeni ukweli wa hii kitu,ili nimpe ban huyu mtu wangu kuvaa hivyo vikuku au la.
Mbarikiwe wote.

Zantel
 
,nikimwuliza kwanin anavaa anasema ni urembo tu kwa wakinadada.

unataka hadi akuambie line yangu ya Tigo ipo bize? wewe kama hujui kosoma basi angalia tu hata picha
 
unataka hadi akuambie line yangu ya Tigo ipo bize? wewe kama hujui kosoma basi angalia tu hata picha

Aisee mbona unanitisha ndugu,hiyo ndio maana yake?
Hoi! hoi! hoi! Mh!
Embu wadada mnao vaa 2peni ukweli juu ya hilo mbona hata watoto wadogo wanavalishwa lakini inamaana nao Tigo zao ziko bize?
 
jamani muache ku suspect kila kitu.kuvaa kikuku ni urembo kama urembo wa hereni au baangili.mimi mwenyewe navaa na haina maana yoyote kwangu zaidi ya urembo.m.me jiamini na muamini mpenzi wako.ulimuuliza na yeye akakupa jibu,kwa nini hujaridhika?
 
Mkuu Indicator ya kushoto hiyo, inaonesha upo free kuOvertake ila kama ni Subscriber wa tiGO))
 
Habari wana jamvi?
Mimi niko na demu wangu kwa miaka miwili sasa.
Hatuna tatizo la kimahusiano,ila kitu nataka mnisaidie ni maana halisi ya kuvaa kikuku miguuni.
Kwani tukiwa ktk mitoko flani flani huwa anapenda kuvaa,nikimwuliza kwanin anavaa anasema ni urembo tu kwa wakinadada,
jibu hilo huwa haliniridhishi kwani nikiwauliza washikaji wanadai kuvaa kikuku mguu mmoja au miwili yote inamaana yake ambayo cyo nzuri ktk jamii iliyo staharabika.
Sasa wana jf wadada kwa wakaka naombeni ukweli wa hii kitu,ili nimpe ban huyu mtu wangu kuvaa hivyo vikuku au la.
Mbarikiwe wote.
Hayo ni mambo ya TIGO
 
jamani muache ku suspect kila kitu.kuvaa kikuku ni urembo kama urembo wa hereni au baangili.mimi mwenyewe navaa na haina maana yoyote kwangu zaidi ya urembo.m.me jiamini na muamini mpenzi wako.ulimuuliza na yeye akakupa jibu,kwa nini hujaridhika?
Utakuwa hujui maana halisi ukivaa kushoto ni TIGO
 
jamani muache ku suspect kila kitu.kuvaa kikuku ni urembo kama urembo wa hereni au baangili.mimi mwenyewe navaa na haina maana yoyote kwangu zaidi ya urembo?

Kwani unachajiaga simu yako ile chaja ya kobe?
 
Utakuwa hujui maana halisi ukivaa kushoto ni TIGO
mmmh,sifikirii kwa kweli,kwani mimi huo mtandao situmii.ila kwangu mimi ni urembo.na ninapovaa hainijii akilini kama nichague mguu upi wa kuvaa,maybe zamani ilikuwa hivyo,lakini siku hizi sifikirii kama watu wanatafsiri hivyo.labda story za vijiweni hizo.maofisini watu wanavaa ni watu na heshima zao
 
mmmh,sifikirii kwa kweli,kwani mimi huo mtandao situmii.ila kwangu mimi ni urembo.na ninapovaa hainijii akilini kama nichague mguu upi wa kuvaa,maybe zamani ilikuwa hivyo,lakini siku hizi sifikirii kama watu wanatafsiri hivyo.labda story za vijiweni hizo.maofisini watu wanavaa ni watu na heshima zao

kwani hivi kuvaa kikuku ni utamaduni wetu waafrika au 2naiga wazungu?
Na wao wazungu kwao kuvaa hivyo ina maana gani?
Tusije kuwa tunaiga tamaduni zao bila kujua maana zake,then sisi tukasema ni urembo tu,huo ndio wasiwasi wangu.
Maana lisemwalo lipo.
 
Aisee mbona unanitisha ndugu,hiyo ndio maana yake?
Hoi! hoi! hoi! Mh!
Embu wadada mnao vaa 2peni ukweli juu ya hilo mbona hata watoto wadogo wanavalishwa lakini inamaana nao Tigo zao ziko bize?

Sasa unatishwa nini wewe kama hujui kusoma alama wenzako wanasoma na wanapiga huo mtandao!!!
 
kikuku.jpg
 
Mhh...mimi kwangu haya mageni....huwa nafikri watu wanavaa kwa ajili ya urembo tu!
 
Urembo tu ina maanawamasai nao wanatumua mtandao? wala usihofu siku hizi ni vitu vya kawaida ni sidhani kama tunaiga wazungu ni sisi wenyewe. embu niambie umewaona wazungu wangapi na hivyo vikuku? huu ni utamaduni wa kiafrika ila siku hizi kama una uwezo unachonga za gold. ila ilikuwa ni shanga zaidi
 
Back
Top Bottom