miss charming
JF-Expert Member
- Dec 3, 2016
- 910
- 905
Weka kachapi(in masanja's voice)Basi kuna mwingine anavaa icho kikuku alafu mguu mbayaaaaaaaaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka kachapi(in masanja's voice)Basi kuna mwingine anavaa icho kikuku alafu mguu mbayaaaaaaaaaaa
ni vidude fulani hivi visivyo n maana wala ulazimaEt jamani yaani watu wanapenda kujishushia heshima ktk Jamii kwa kuiga vitu vya kijinga mm siwez vaa aisee hata ingekuwa na tafsir nzur yaani cjui navionaje
Wewe tuuuuu..
Mkuu mimi sipendi tu hakuna maana yoyote.Mkuu kutoboa masikio matundu mengi nako kunamaanisha nini?
Vipi kuhusu wale wanaotoboa maskio zaidi ya tundu 3 na kueka vipini?Kwani mkuu unavosema wana pesa za kutosha unajua chanzo upatikanaji wake?? Lisemwalo lipo
Vyote hivo havina maana nzuri japokuw hivo cjui tafsir zakeVipi kuhusu wale wanaotoboa maskio zaidi ya tundu 3 na kueka vipini?
Itakuwa ni kweli lisemwalo lipo mkuuMiss Charming
Maana uliyoitoa haiko mbaaali na maana niliyowahi kuisoma sehemu, wanadai ilianza miaka mingi iliyopita kwenye gereza moja la amerika, ikawa mtu anajitambulisha hivyo.
Kwamba akiweka mguu wa kushoto, ANATUMIKA, akiweka wa kulia ANATUMIA, akiweka yote, anafanya yote mawili.
Wanasema baadae utambulisho huo ukaanza kuenea mitaani na mwishowe ndo hata sasa tunaulizana.
Itakuwa ni kweli lisemwalo lipo mkuu
Duuh aisee hii ndo naisikia kumbe wabongo wanajua sema wakaidi tuNa kuna article inasema huwa zinavaliwa na wanaoitwa "Hotwife". Kwamba yuko kwenye ndoa na mume ila yupo free ku-date mtu mwingine, wanatumia alama kama "Kopa, duara lenye msalaba chini yake, Q, Kopa(kwenye karata) tatoo ya kopa kwenye ankle n.k" Na zote hizo wamesema zina maana mf: Kopa na Q pamoja inamaanisha anapendelea Wanaume weusi.
Ni sawa na yale manaume yanayoboa masikio kumaanisha wanatandikwa mjeredi nyuma.mimi sivipendi[emoji23] baadhi ya watu nnaowafahamu wanavaaga najaribu kuwaelekeza wanasema ni urembo tu hakuna lolote.
Ila kuvaa kikuku ni nembo ya umalaya, mguu wa kushoto nyuma ,wa kulia mbele...
akivaa yote anauza pote[emoji23][emoji23].
Halafu zamani walikua wanavaa walioolewa ambao mumewe jogoo hasimami ,kwahiyo akivaa anamaanisha mumewe hawezi kitu yuko tayari kwa mpango wa kando na Bwana karuhusu( mama ndivyo alivosema )
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]