Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

HUU UZI UKO MUBASHARA KABISA MANAKE SIO KWA PICHA HIZI.NGOJA NI SUBSCRIBE KABISA
Perfects: ngoja tuchimbue chimbue mishanga, tupate maana na faida yake
Ni nini ngoja wa mama waje watuambie
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hahhaa afu ujue sijawah pata partner ana shanga hata mmoja. Sema natamani, I wish I could try them. Huwa naziona tu kwenye picha kama hivi. Tunaotoka na watu wa kaskazini hawana hizi mambo.
Mie nilikutana nazo kitambo kwa mama, mmoja wa kijaruo balaa mkuu, na huyo mama shughuri anaiweza haswa.
 
Sawa mods pia watulindie uzi wetu ombi.
5f07d84c8b57cf713d29e261dccfdfb2.jpg
funzadume
 
hahahaaa so siku nikiona lundo nijue na ukubwa wa shughuli uko hivo??
Alizivaa kama 100 hivi kwa hesabu ya haraka haraka, mpaka nikawa naingia wasiwasi mawazo yakawa yananituma au huyu mama mwanga, maana si kwa mishanga ile ya kufa mtu mkuu.
 
Yaa tena mm huwa napenda mwanamke anivalie shanga moja tuu sio MTU anavaa shanga ka mkanda eeh
Na wanawake wengine wana viuno vya shanga mkuu, akiwa mtupu asivae nguo abaki na shanga tu hadi raha [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom