Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na bangili je?Kuiga ujinga tu. Uvaaji wa Vikuku pia ni imani zakipagani. Wasio muabudu Mungu
NI urembo tu sema imani tuloijenga wabongo...mfano wanaovaa kata K wanaliwa..???Mi nitaendelea kuamini kwamba mwana mke anayevaa vikuku miguuni ni muhuni na siwezi kumtongoza., wengi wanajiuza
Nimepata kuongea na dada mmoja na kunieleza maana yake halisi,
Kwamba akivaa kushoto mgooni inamaanisha anauza mbele tu,
Akivaa kulia hapo tigo express yourself
Akivaa miguu miwili maana pote ni useful anapauza
View attachment 717889
Bangili ni urembo, ila inategemea na Mali ya mtu, na sehem gani unatakiwa kuivaa. Sasa utakuta mtu kavaa Hereni kwenye ulimi, hadi K. U. M. A sikuhizi inawekewa Hereni. Mbooo zinavishwa pete! Imani zaki Shetwani zimetawala duniaNa bangili je?
Mmmmmh sawaBangili ni urembo, ila inategemea na Mali ya mtu, na sehem gani unatakiwa kuivaa. Sasa utakuta mtu kavaa Hereni kwenye ulimi, hadi K. U. M. A sikuhizi inawekewa Hereni. Mbooo zinavishwa pete! Imani zaki Shetwani zimetawala dunia
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]unachosema kweli, katika pita pita zangu kuna mdada bonge kama tikiti kaonyesha ana mahaba nami, nkawa nampotezea siku ambayo shetani aliruhusiwa na Mungu, nikaingia kwenye kumi na nane zake aisee nilichokutana nacho, mtoto mwepesi kama nyoya na yupo fiti, aisee nkasema sidharau mtu tena. Heshima kwenu vibonge wa nje ndani wembamba
Jiulize na ujijibu
Jiulize na ujijibu wewe mwenyeweJiulize na ujijibu
Navaa kama urembo na siachi.Niwashauri wadada na wanawake mnaovaa kwa lengo la urembo tu, acheni maana jamii inachukulia vibaya. Tunzeni heshima zenu. Msivae wabaki hao wanaotoa
Ofcoz itakuwa na wewe tabia zako ni zile zilee so hujali jamii itakuchukuliaje..!![emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]kiufupi ushajichokea... Liwalo na liweeNavaa kama urembo na siachi.
Kwa jamii niliyopo ni urembo tena tunashindana nani ana vya gharama zaidi. Ukisikiliza maneno ya watu hutofanikiwa kamwe na hutofurahia unachokipenda.
Basi kwenye hizo tabia tunakuwaga wote [emoji16][emoji16][emoji16]Ofcoz itakuwa na wewe tabia zako ni zile zilee so hujali jamii itakuchukuliaje..!![emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]kiufupi ushajichokea... Liwalo na liwee
Eehe sema wewe utaoaa koteee...Basi kwenye hizo tabia tunakuwaga wote [emoji16][emoji16][emoji16]
Waarabu wa pemba ama vipi