Sigma
JF-Expert Member
- Feb 26, 2011
- 5,006
- 1,255
We unavaa mguu gani?miguu mizuri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We unavaa mguu gani?miguu mizuri.
Aisee, kumbe na huyu mama nae tena!![]()
Pinda akiwa na Waziri Mkuu Msumbiji Bi Luisa Diogo akiwa na kikuku chake.
Haina mbhaya ila kwa mwaume akisifia ni kwamba kavutiwa! je ww umevutiwa pia.
We unavaa mguu gani?
ni kama top&under vileyote miwili.
ni kama top&under vile
hahaha! Ila mi sizuruli navyo mtaani. Navaa nikienda kwenye sherehe. Lol.
kwani kwenye sherehe siyo mtaani?hahaha! Ila mi sizuruli navyo mtaani. Navaa nikienda kwenye sherehe. Lol.
kwani kwenye sherehe siyo mtaani?
na kwanini unasema huzuruli navyo mtaani?
napenda sana miguu yenye vikuku mimi....😛oa
nani zaidi![]()
![]()
Siku za nyuma nilikuwa nikisikia tafsiri mbalimbali ambazo kiukweli si
nzuri juu ya hii kitu inaitwa KIKUKU. Kinachonifanya niulize ni hiki,
Majira ya saa moja na nusu Juzi nimekutana na kina dada wawili ambao
walikuwa wameongozana huku wakiwa na kapu la vyombo mkononi
(Nahisi walikuwa wanatoka hospitali)
mmoja alikuwa amevaa kikuku(Ushanga, mkufu) mguu wa kushoto alikuwa
anaporomosha matusi mazito sana tena ya nguoni huku akiwa ameongozana
na mwenzake Namnukuu -
"Eti anataka nimpe....***** cha maumbile (Hapo nimepoza maana alitumia maneno makali sana)...
**** sana yule ... tena ms**** , kkk....***** ke**** (Matusi mazito)
Eti anasema kwanini yeye namnyima wengine nawapa. Mshenzi sana yule ye hajui kuwa hili ni
pambo tu kama mapambo mengine. Yaani kuvaa kikuku ndo aninanihiii (Tumepoza)
Sitaki hata kumuona na mpango wa ndoa na yeye ndo umekufa, hawa wanaume wa TANGA sitaki hata
kuwasikia maana nasikia hata baba Tamasha ndo mchezo wake kamuharibu mkewe hivi hivi"
Ndugu zangu mi naomba kujua kuhusu hiki kikuku Je ni pambo la kawaida
au ni kama tulivyokuwa tunasikia zamani kuwa... maana naona wanaovaa
siku hizi ni wengi sana, kitu ambacho akili inakataa kuwa wote hao
ni wanachama.
![]()
Cheki miguu ya binti ya Obama
imenivutia ndio. Usikuze mambo.
Ngoja nickuze mambo!! na mimi nimevutiwa na ww.
Nami naomba kujua!
Mbona hata Mwita25huwa anavaa?!! ......