Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

Upotoshaji tu,
Waacheni watu wavae kwa raha zao
anaehisi unahusiana na kugawa tigo aendelee kuwaza hayo na anaechukulia ni urembo aamini vivyo hivyooo
 
kuna bi mkubwa mmoja namuonaga church anatupia KIKUKU kama hana habari, hebu waungawa tujuzane ili nipate GIA ya kuanzia
 
Sio kweli cheni za mguuni ni urembo tu kama cheni za shingoni,hereni,bracelet au hata zile za kiunoni hazina maana yoyote zaidi ya urembo.
Mwanzoni watu walidhabni cheni za mguuni zina maana tofauti beyond urembo bt siku hizi si hivyo!
 
Wana JF,
Wanawake tunawajua kwa mapambo mbalimbali, mengine ya kuonekana na mengine mpaka uwe wake ndiyo uyaone.
Mimi nimekutana na wanawake kadhaa kutoka maeneo fulani ambao hupenda kuvaa shanga kiunoni kama moja ya tamaduni zao. LKN cha kushangaza shanga zenyewe zimetengeneza uchafu kama ukungu hivi, hata ngozi za hao wanawake zina fungus......YAANI MPAKA NILISHINDWA KU........,sasa wadau naomba mnipe uzoefu wa shanga hizi.
 
Shanga a.k.a chachandu,kiukwl binafc huwa nazipenda sana hasa umkute msichana mtundu,utapenda,halafu pia nikiwa na mama yenu mdogo,shanga huwa zinanipa mzuka sana wa kupanda mlima bila kuchoka,the presence beads make me eat mountains like yams! Sijawah kukutana na mwanamke mchafu type ya huyo unayesema umekutana naye,lakini kiukwl raha ya shanga,dah! Nashndwa hata nikuambie nini,labda nimwite mama yenu mdogo awaeleze.
 
Umekutana na shanga mpododo nini??zile azina madhara mkuu cha kufanya unamwogesha pamoja na shanga zinageuka shanga mshedede easy ukikimbilia ndio unakutana na mpodod kamausemavyo pole sana
onyo sabuni bora lodge ni ile
unayokuja nayo kwa afya yako
 
kwel kabsa! Halaf anaomba uzoefu wa nn sasa? Tatzo siku iz jf imeingiliwa na watoto wanaobalehe basi imekuwa shida kweli. Ukitaka kujua hilo angalia threads za kujiunga na vyuo zilivojaa ndo utaamini kuwa teenagers ndo wamejaa humu!

wengine wametutoa bikira kaka lazima waheshimike na utoto wao
 
kweli watoto wamekuwa rundo hapa JF hadi kero. Eti huyu dogo anahitaji uzoefu wa shanga! Uzoefu si ndio huo aliopata wa shanga kupata kutu!
 
Back
Top Bottom