Urijali kwa Mwanaume ni Utajiri pia ulinde sana usiupoteze

Urijali kwa Mwanaume ni Utajiri pia ulinde sana usiupoteze

Muda mwingine na huo huo urijali unasababisha afya mbovu. ( magonjwa ya ngono na UKIMWI).

Ushauri mzuri wa kutunza afya na kuwa makini na lifestyle

Lakini muda mwingine pamoja na kufanya yote kuulinda mwili...katika hali usiyotarajia unakuta tu kiungo fulani kinapata hitilafu,uwe ni mgongo,kisukari, figo ,ini na kadhalika.
Wakati tunajitunza tumuombe Mungu abariki viungo vyote vidumu kwa uimara kwa miaka mingi.
Maana haiwezekani kuwa sawa muda wote,
Kuchakaa kupo palepale.
 
Nikikutana na mwanaume alafu ana kitambo huwa namwone huruma sn.Najua hapa hamna kazi kitandani

Mshikaji wangu mmoja ana kitambi cha bia,wiki iliyopita aliokota Malaya akalala nae usiku kucha.kesho yake Yule Malaya anamcheki demu wa chumba cha jirani ambaye ndy alimuunganishia jamaa Kwa huyo demu
Anamsimulia "huyo mwanaume uliyeniunganishia Hana maajabu yoyote kitandani,likitambi likubwa,usiku kucha anapiga bao moja Tu alafu ana kiba [emoji817] ".
Yule demu jirani akaniambia huku anacheka "rafiki yako hajui kupeleka Moto vizuri"..Tangu siku hiyo mwana namuonea huruma sn

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Nikikutana na mwanaume alafu ana kitambo huwa namwone huruma sn.Najua hapa hamna kazi kitandani

Mshikaji wangu mmoja ana kitambi cha bia,wiki iliyopita aliokota Malaya akalala nae usiku kucha.kesho yake Yule Malaya anamcheki demu wa chumba cha jirani ambaye ndy alimuunganishia jamaa Kwa huyo demu
Anamsimulia "huyo mwanaume uliyeniunganishia Hana maajabu yoyote kitandani,likitambi likubwa,usiku kucha anapiga bao moja Tu alafu ana kiba [emoji817] ".
Yule demu jirani akaniambia huku anacheka "rafiki yako hajui kupeleka Moto vizuri"..Tangu siku hiyo mwana namuonea huruma sn

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Sijui tutamalizaje vitambi...maana duu
 
Mnadanganyana tu
kitu cha muhimu kabisa kwa mwanaume ni AKILI na MAARIFA ila sio elimu ya vyeti,utajili,sijui mnaita urijali mara uhandsome vyote hivi bila akili na maarifa ni sawasawa na gari bila injini😂

Ukiwa umepata elimu na utajiri bila akili na maarifa utaishia kubuluzwa na mke wako kwa mali zako mwenyewe

Ukiwa una utajiri na uhandsome bila akili na maarifa utaishia kulamba sana vikojoleo vya wanawake,kutumia sana mkongo na kibaya zaidi utaishia kubambikiziwa na watoto wasio wako mfano mzuri angalia maisha ya msani diamond platinam

Mwanaume lazima ujue mipaka yako na cheo chako na ukubali sio kila demu utaweza kumridhisha na ukumbuke kuridhika kwa mtu ni yapo katika maamuzi yake usijitese sana kuna vitu huwezi kuvikontrol sanasana maamuzi au mtazamo wa mtu juu yako kumbuka wewe ni binadamu sio Mungu
Kumbuka mwenyezi Mungu aliwaumbia binadamu mazingira (eden) yasio na shida kabisa lakina walivyoambiwa na shetani kwamba Mungu anawakandamiza na hawakutakiwa kuishi eden binadamu wakamsaliti Mungu sasa wewe ni nani umridhishe binadamu bila yeye kuridhika na wewe

Unaweza ukawa na utajiri wa kutosha na ukawa unamtenda vizuri kitanda hadi unaona anasema basi lakini mwanamke huyohuyo akacheat na sababu nyingine kabisa kisa labda anataka cheo kazini,kamuona tu mkaka anamwili wa kuvutia anataka ajalibu yukoje 😂😂

Mwisho wa siku lazima ukubali huwezi kumridhisha binadamu na wala sio kazi

"Stay free my brother,keep focus on your goal not on people desire, remember that people are there forever are there but your goals are not there"
 
Maajabu, mwanaume ambaye ana hela ila hana nguvu za kiume utakuta haishiwi wanawake wa kumzengeazengea kimapenzi japo wanajua hana uwezo wa kuwatindua wao ni hela tu wanataka, shoo hawana muda nayo, hii nayo kali
 
Maajabu, mwanaume ambaye ana hela ila hana nguvu za kiume utakuta haishiwi wanawake wa kumzengeazengea kimapenzi japo wanajua hana uwezo wa kuwatindua wao ni hela tu wanataka, shoo hawana muda nayo, hii nayo kali
Sanaa
 
Heheee haloo
Screenshot_20211113-184904_Instagram.jpg
 
Back
Top Bottom