Urijali kwa Mwanaume ni Utajiri pia ulinde sana usiupoteze

Urijali kwa Mwanaume ni Utajiri pia ulinde sana usiupoteze

Anasahau kuwa ukiwa na njaa huwezi kusex na wala huwezi kuzaa maana hamna mwanamke anayetaka mwanaume ambaye hawezi leo watoto wake
Ni tatizo wabongo wengi kuwaza kwa kutumia kichwa cha chini mkuu, ni kawaida yao.
 
Ndio maana nchi haiendelei, urijali huo unaweza kuombea mkopo benki gani,dem wakukaa akae ,achapwe na jirani achwape ,nisome kwa shda nakesha alaf niangaike tena na mtu mkubwa sisomi nachelewa kulala,kimoja tu nageuka navuta shuka,jirani chukua tu,hiii !!,iiiihi! unipanue mapua kisa nn urijali ,
 
Ndio maana nchi haiendelei, urijali huo unaweza kuombea mkopo benki gani,dem wakukaa akae ,achapwe na jirani achwape ,nisome kwa shda nakesha alaf niangaike tena na mtu mkubwa sisomi nachelewa kulala,kimoja tu nageuka navuta shuka,jirani chukua tu,hiii !!,iiiihi! unipanue mapua kisa nn urijali ,
 
Hujataja ila naona unawasuta mapadri wa kikatoliki, sio kwamba hawana nguvu ila hahahitaji sex. Ni kweli??? Basi huenda ni kutokuowa tu, ila mambo mengine ni kama Kawa?
 
Kwa lile life la msoto nililopitia halafu lijirudie tena kunitokea uniambie nichague kati ya utajiri na ulijari my friend nachagua utajiri
 
Back
Top Bottom