Sijui tutamalizaje vitambi...maana duuNikikutana na mwanaume alafu ana kitambo huwa namwone huruma sn.Najua hapa hamna kazi kitandani
Mshikaji wangu mmoja ana kitambi cha bia,wiki iliyopita aliokota Malaya akalala nae usiku kucha.kesho yake Yule Malaya anamcheki demu wa chumba cha jirani ambaye ndy alimuunganishia jamaa Kwa huyo demu
Anamsimulia "huyo mwanaume uliyeniunganishia Hana maajabu yoyote kitandani,likitambi likubwa,usiku kucha anapiga bao moja Tu alafu ana kiba [emoji817] ".
Yule demu jirani akaniambia huku anacheka "rafiki yako hajui kupeleka Moto vizuri"..Tangu siku hiyo mwana namuonea huruma sn
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Hizo picha ni irrelevant mada inahuu urijali wa mwanaume yeye ameweka za wanawake!duh aisee, naona umeamua kabisa kuweka vidhibiti (vielelezo) vya picha ili mada ieleweke!
SanaaMaajabu, mwanaume ambaye ana hela ila hana nguvu za kiume utakuta haishiwi wanawake wa kumzengeazengea kimapenzi japo wanajua hana uwezo wa kuwatindua wao ni hela tu wanataka, shoo hawana muda nayo, hii nayo kali
Wewe unacho mkuu?Sijui tutamalizaje vitambi...maana duu
Ni shida mkuu,afu mmama na kitambi hainogiWewe unacho mkuu?
UwiiNi shida mkuu,afu mmama na kitambi hainogi
Kabisa kabisa,hilo halina ubishi!!Kwenye kubalance maisha sawa but kwenye uwanja wa starehe ni anguko kuu.
Ahaha alafu kitambi Kwa mwanamke kinakufanya ushindwe kupendeza aseeNi shida mkuu,afu mmama na kitambi hainogi
hivo vidhibitisho ndio vyenyewe sasa.. application-wiseHizo picha ni irrelevant mada inahuu urijali wa mwanaume yeye ameweka za wanawake!