Nchi Kavu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 4,290
- 2,468
Kwanza nikupe pole kijana,nilikuwa na tatzo kama lako pamoja na maralia sugu nikimeza dozi nakuwa musima ndani ya wiki nikipima UTI na malaria lazima vikuwe kwa mwili,tiba nilienda kwa maduka yanayouza dawa za asili za kichina(TIENS) NIKAPEWA DAWA KAMA MAJAN YA CHAI UNAKUNYWA KWA MAJI MOTO PAKT MOJA SH 1OOO/=Nashukuru mungu mpaka sa ivi nko msima
mkuu hayo madika yako wapi?