Urinary Tract Infection (UTI): Chanzo, Dalili na Kinga/Tiba yake

Urinary Tract Infection (UTI): Chanzo, Dalili na Kinga/Tiba yake

Kwanza nikupe pole kijana,nilikuwa na tatzo kama lako pamoja na maralia sugu nikimeza dozi nakuwa musima ndani ya wiki nikipima UTI na malaria lazima vikuwe kwa mwili,tiba nilienda kwa maduka yanayouza dawa za asili za kichina(TIENS) NIKAPEWA DAWA KAMA MAJAN YA CHAI UNAKUNYWA KWA MAJI MOTO PAKT MOJA SH 1OOO/=Nashukuru mungu mpaka sa ivi nko msima

mkuu hayo madika yako wapi?
 
Poleni na majukumu,mimi ni mwanafunzi wa chuo ,kuna mdada nasoma nae wiki 3 zilizopita ameanza kuumwa akaenda hospital vpimo vikaonesha ana uti dozi kapewa katumia,after a week kaumwa tena tukampeleka hospital vipimo hajakutwa na ugonjwa zaidi ya uti na kapewa dawa,juzi ameumwa tena zaidi anaongea vitu visivyoeleweka tukampeleka hospital ya wilaya vipimo vimeshow uti tu kapewa tena doxin na ethromycin.Kwasasa hali ya kua kama anachanganyikiwa inajirudia mara kwa mara na tuko kwenye mitihan ya semister ,naomben msaada wenu tafadhari.ahsanteni
 
Poleni na majukumu,mimi ni mwanafunzi wa chuo ,kuna mdada nasoma nae wiki 3 zilizopita ameanza kuumwa akaenda hospital vpimo vikaonesha ana uti dozi kapewa katumia,after a week kaumwa tena tukampeleka hospital vipimo hajakutwa na ugonjwa zaidi ya uti na kapewa dawa,juzi ameumwa tena zaidi anaongea vitu visivyoeleweka tukampeleka hospital ya wilaya vipimo vimeshow uti tu kapewa tena doxin na ethromycin.Kwasasa hali ya kua kama anachanganyikiwa inajirudia mara kwa mara na tuko kwenye mitihan ya semister ,naomben msaada wenu tafadhari.ahsanteni

Mode wameiamisha hapa,sasa jamani huyu mtu kuchanyikiwa kunazd hapa yenyewe hajielew anaongea visivyoeleweka tu
 
Jaribu kunywa maji mengi yasiyo na chumvi mfn maji mengi ya dawasco yanachumvi nyingi jaribu kutumia yanayouzwa kama vile uhai, Kilimanjaro etc. Just is due to high concentration of solutes in urine pathways which irritating the under line mucosal.
 
Habarini waungwana mbalimbali

Mimi ni kijana wa kiume nina miaka 24 nasumbuliwa sana na u.t.i mpaka sasa toka mwaka jana. Mwezi wa 4 mwaka huu nimefanya urine culture na nikapewa dawa lakini bado tatizo lipo.
Nimechoma sindano pamoja na vidonge lakini nimalizapo tu dozi basi tatizo huanza tena. Na huwa mapumbu yanakua kama yanatekenya hivi tumbo lina choma usawa wa kibofo na vichomi vichomi katika tumbo mpaka sehemu ya kupitishia mkojo kwa chini inakua kama inawasha lakini hakuna uchafu wowote unaotoka wakati wa kukojoa. Mkojo mda mwingine ni mweupe sana mda mwingine kahawia.
Wataalam mbalimbali naomba msaada wenu tafadhari wa haraka nini nifanye nahambatanisha na majibu ya vipimo.
umepima sukari? urine pH? unakunywa maji kwa wingi? Njoo na majibu
 
kafanye vipimo vya culture ili wakupe dawa sahihi kutokana na aina ya bakteria watakao kuwa isolated,pia fanya KOH test ujue kama ni fungus kutokana na maelezo yako
 
Acha kutumia maji kujisafisha wakati wa haja kubwa Anza kutumia toilet paper kujisafisha then maji yafuate la sivyo UTI haitaisha kamwe utaenda hospital nenda rudi

Mkuu kwani asitumie maji, nini kinatokea, nieleze kwa faida yangu plz
 
Mkuu kwani asitumie maji, nini kinatokea, nieleze kwa faida yangu plz

Nilikwenda hospital nkaambiwa na dokta ukitumia maji kinyesi kinarudi kwenye njia ya mkojo wale vijidudu vinakuwaga kwenye kinyesi hvyo unatakiwa uanze na toilet paper halafu maji yafuate usianze na maji direct
 
umepima sukari? urine pH? unakunywa maji kwa wingi? Njoo na majibu

Nimepima sana mkuu mpaka urine culture nimefanya na dawa natumia lakin huku dawa natumia bado unakuta korodani moja ya kulia inavuta. Na nikimalizaga dozi vinaanzaga na vichomi vya tumboni yaani sijui nakosea wapi sijui labda izi dawa natumia sivyo.
 
kafanye vipimo vya culture ili wakupe dawa sahihi kutokana na aina ya bakteria watakao kuwa isolated,pia fanya KOH test ujue kama ni fungus kutokana na maelezo yako

Culture nimefanya na majibu yake nimeweka post ya pili.
 
Wakuu hyo kitu mm ndio na malizia doze leo Na ninaona mafanikio makubwa. Kitu doctr aliniambia ni uzoefu wa kutibu haya magonjwa na aina ya dawa na wakati. Mimi nilimeza dawa mara mbli full doze bila mafanikio mara ya kwanza. Ndipo nilipoenda fanya test ya mkojo. Majibu yakawa na UTI sugu dawa nilizo pewa ni doxy na sindano tu. Na alisisitiza asipo nichoma sindano lazma itanirudia tu nikimeza dawa pekee. So hmbu na ww jarbu koz mm masaa nane bada ya sindano niliona tofauti kubwa.

Mkuu sindano nimechoma mwezi uliopita na dawa za kumeza baada ya majibu ya culture. Lakini kumaliza tu hali ikaanza tena nimerudi hospitali nimepewa sasa vidonge naendelea kumeza lakini koradani moja huwa inavuta.
 
Nimepima sana mkuu mpaka urine culture nimefanya na dawa natumia lakin huku dawa natumia bado unakuta korodani moja ya kulia inavuta. Na nikimalizaga dozi vinaanzaga na vichomi vya tumboni yaani sijui nakosea wapi sijui labda izi dawa natumia sivyo.
Kama umeishatumia Powercef+Doxy+Flagyl na bado hujaponaTulia kwanza.Tumia matunda+ fresh juices+Vegetable kwa mwezi mzima. Kama bado maumivu yapo muone daktari akupe Azthromycin 500mg OD kwa siku 7. Baada ya hapo subiri siku 7 -10 kafanye tena urine C/S
 
Nilikwenda hospital nkaambiwa na dokta ukitumia maji kinyesi kinarudi kwenye njia ya mkojo wale vijidudu vinakuwaga kwenye kinyesi hvyo unatakiwa uanze na toilet paper halafu maji yafuate usianze na maji direct

Mhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh!
 
Kama umeishatumia Powercef+Doxy+Flagyl na bado hujaponaTulia kwanza.Tumia matunda+ fresh juices+Vegetable kwa mwezi mzima. Kama bado maumivu yapo muone daktari akupe Azthromycin 500mg OD kwa siku 7. Baada ya hapo subiri siku 7 -10 kafanye tena urine C/S

1432799412878.jpg


Kqa sasa nimeandikiwa hizo dawa ndio natumia
 
Back
Top Bottom