audacious
JF-Expert Member
- Mar 28, 2012
- 240
- 397
urinary tract tract infection inasababishwa na bacteria kama E COLI,klebsiela na proteas mara nyingi huwa athiri sana wanawake ambao wanatumia contraceptives.unaweza ukapata maambukizi through sexaul intercourse lakini kwa wanaume chini 50yrs ni mara chache sana wanapata especially wanapokuwa immunocompromised mfano mtu mwenye hiv na cd4 zake ziko chini ya 200.