Urusi, China, Iran na Saudi Arabia zaanza maandalizi ya kuachana na matumizi ya Dola ya Marekani

Matajiri walitoka wapi si kwa biashara tu za kila siku ogopa sana nguvu ya soko
Watarudi wenyew kwenye Dola na Euro ao ni vile wanajitekenya tu mnyama ata habari hana, zaidi ya nchi 50 ulimwenguni tena mataifa yenye nguvu zaidi duniani yako upande wa Dola na Euro itakuwa hizo nchi zinazochechemea
 
Hamna kitu hapo, sasa China biashara zake na nchi za magharibi ambayo ndio kubwa zaidi atafanyaje.

Hata hivyo kumezuka tena wimbi la makampuni ya Marekani kuanza kuondoka tena China, yanafanya "Disinvestment from the communist state."
Mkuu achana na mchina kabisa kwenye swala la business na ubinafsi, ni kama wanaiona kesho. Ukiona mchina karuhusu kampuni ya nje kuwekeza kwao hasa za manufacturing baada ya muda flani lazima nao wanaanzisha business inayofanya biashara sawa na kuzalisha bidhaa kama hii ya muwekezaji na wote wanaofunga biashara zao na kuondoka China wengi unakuta tayari wana rival wa kichina anaezalisha bidhaa kama yake na anaiuza kwa bei ndogo so huyu invester hawezi kushindana sokoni.
 

"Makampuni yana hama kwasababu ya ushawishi wa na wanasiasa, JIULIZE NI KWANI SERIKALI YA MAREKANI IMESHINDWA KUMSHAWISHI ELON MUSK AKIONDOE KIWANDA CHAKE CHA MAGARI PALE Shang?
Anajua changamoto yake akihama China".

Hiyo ni koment ya mtu mmoja ila ni kama vile kichwani wako wawili wanabishana.JF RAHA SANA🤣🤣
 
Legeza fuvu hilo uelewe
 
wote wanaofunga biashara zao na kuondoka China wengi unakuta tayari wana rival wa kichina anaezalisha bidhaa kama yake na anaiuza kwa bei ndogo so huyu invester hawezi kushindana sokoni
💯🤝

Niliwaambia hawa jamaa pale juu mojawapo ya sababu ya kuhamisha viwanda ni ushindani mkubwa kutoka kwa viwanda vya ndani
 
Good narration
 
Basi kila mahali uwe unaandika na kuzungumza Jamuhuri ya Muungaji wa Tanzania badala ya Tanzania tu.
Acha kupoteza muda.
Nimeuliza ulichoa andika. Japan na Turkey hazipo kwenye maandishi yako.

Official name ndicho kiwakilichi kikuu na wala sio maneno ya kuokoteza yasiyo leta maana yoyote ile ya kueleweka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…