John Haramba
JF-Expert Member
- Feb 4, 2022
- 365
- 1,374
Urusi imezuia matumizi ya mtandao wa Facebook unaomilikiwa na Kampuni ya Meta Platforms Inc's (FB.O) nchini kwao kile kilichoelezwa kupishana katika masharti ya vitu vya kuweka mitandaoni wakati huu wa vita yao na Ukraine.
Maamuzi hayo yameongeza presha kubwa kwa vyombo vya ndani ya Urusi ambavyo vinatishiwa kufungiwa ikiwa watatoa taarifa za uwongo kuhusu kinachoendelea kwa majeshi ya taifa hilo kuivamia Ukraine kama Urusi wanavyodai kuwa taarifa zinazotopewa kipaumbele ni zile zinazowakandamiza wao.
Mkuu wa Kitengo cha Matukio ya Kimataifa wa Meta, Nick Clegg amesema: “Mamlaka za Urusi zilitutaka kuzuia taarifa zote zinazohusiana na vita katika mtandao wetu, tukawaambia hatuwezi kufanya hivyo, ndipo wakaamua kufungia huduma yetu.”
Source: Reuters
============================================================================
Russia to restrict Facebook access for 'censoring' its media
(Reuters) - Moscow said on Friday it was partially limiting access to Meta Platforms Inc's (FB.O) Facebook, accusing it of "censoring" Russian media, announcing the measure a day after Russia invaded Ukraine and the latest in a series of steps against U.S. social media giants.
Moscow has also increased pressure on domestic media, threatening to block reports that contain what it describes as "false information" regarding its military operation in Ukraine, where Russian missiles were pounding Kyiv and families cowered in shelters.
The state communications regulator said Facebook had ignored its demands to lift restrictions on four Russian media outlets on its platform - RIA news agency, the Defence Ministry's Zvezda TV, and websites gazeta.ru and lenta.ru.
Meta's head of global affairs, Nick Clegg, said in a statement on Twitter: "Yesterday, Russian authorities ordered us to stop the independent fact-checking and labelling of content posted to Facebook by four Russian state-owned media organizations. We refused. As a result, they have announced they will be restricting the use of our services."
Maamuzi hayo yameongeza presha kubwa kwa vyombo vya ndani ya Urusi ambavyo vinatishiwa kufungiwa ikiwa watatoa taarifa za uwongo kuhusu kinachoendelea kwa majeshi ya taifa hilo kuivamia Ukraine kama Urusi wanavyodai kuwa taarifa zinazotopewa kipaumbele ni zile zinazowakandamiza wao.
Mkuu wa Kitengo cha Matukio ya Kimataifa wa Meta, Nick Clegg amesema: “Mamlaka za Urusi zilitutaka kuzuia taarifa zote zinazohusiana na vita katika mtandao wetu, tukawaambia hatuwezi kufanya hivyo, ndipo wakaamua kufungia huduma yetu.”
Source: Reuters
============================================================================
Russia to restrict Facebook access for 'censoring' its media
(Reuters) - Moscow said on Friday it was partially limiting access to Meta Platforms Inc's (FB.O) Facebook, accusing it of "censoring" Russian media, announcing the measure a day after Russia invaded Ukraine and the latest in a series of steps against U.S. social media giants.
Moscow has also increased pressure on domestic media, threatening to block reports that contain what it describes as "false information" regarding its military operation in Ukraine, where Russian missiles were pounding Kyiv and families cowered in shelters.
The state communications regulator said Facebook had ignored its demands to lift restrictions on four Russian media outlets on its platform - RIA news agency, the Defence Ministry's Zvezda TV, and websites gazeta.ru and lenta.ru.
Meta's head of global affairs, Nick Clegg, said in a statement on Twitter: "Yesterday, Russian authorities ordered us to stop the independent fact-checking and labelling of content posted to Facebook by four Russian state-owned media organizations. We refused. As a result, they have announced they will be restricting the use of our services."