Urusi hana hamu na HIMARS, ghala la silaha lafyekwa na kupelekea hasara kubwa

Urusi hana hamu na HIMARS, ghala la silaha lafyekwa na kupelekea hasara kubwa

Hivi air defense hasa S-300 au S-400 zina uwezo wa ku- intercept na kutungua missiles zinazorushwa na HIMARS au MLRS ? T14 Armata
Haziwezi hiyo sio category yake. Na zingekuwa zinaweza bado ni gharama kubwa kuharibu shells za gharama ndogo. Kuharibu shell sio kazi rahisi kwa system yeyote dunia hii. Kifaru shells zake ni 120mm kwa NATO standards, roketi za HIMARS hazifiki 300mm kama sikosei kwahiyo sio kubwa sana. Na range yake ndogo, ukishaiona angani na surveillance radar kuja kutumia engagement radar na kumulika direction, kutuma missile na mengine hizo ni sekunde kadhaa za kupotea. Wakati HIMARS hazikai hewani zishatua kama hujafyatua missile ambayo itoke kwenye boosting stage ije kwenye engine ignition. Hapo ni kwa S-300 na S-400 zote
 
Haziwezi hiyo sio category yake. Na zingekuwa zinaweza bado ni gharama kubwa kuharibu shells za gharama ndogo. Kuharibu shell sio kazi rahisi kwa system yeyote dunia hii. Kifaru shells zake ni 120mm kwa NATO standards, roketi za HIMARS hazifiki 300mm kama sikosei kwahiyo sio kubwa sana. Na range yake ndogo, ukishaiona angani na surveillance radar kuja kutumia engagement radar na kumulika direction, kutuma missile na mengine hizo ni sekunde kadhaa za kupotea. Wakati HIMARS hazikai hewani zishatua kama hujafyatua missile ambayo itoke kwenye boosting stage ije kwenye engine ignition. Hapo ni kwa S-300 na S-400 zote
Vipi kuhusu iron dome ?...yaani inatumia gharama kubwa kuzuia rockets na missiles ?
 
Ukraine destroyed a modern radar station of the Russians in the village of Lazurne, Kherson Oblast.

Source: Ground Forces of the Ukrainian Armed Forces on Facebook

Quote from Ground Forces: "In Lazurne, the Ukrainian defenders have destroyed the modern Russian radar station 48Y6-K1 Podlet."
 
Ukraine destroyed a modern radar station of the Russians in the village of Lazurne, Kherson Oblast.

Source: Ground Forces of the Ukrainian Armed Forces on Facebook

Quote from Ground Forces: "In Lazurne, the Ukrainian defenders have destroyed the modern Russian radar station 48Y6-K1 Podlet."
Na hiyo ndo ilikuwa inatumika kutuma targets kwenye S300&400
 
Ukraine destroyed a modern radar station of the Russians in the village of Lazurne, Kherson Oblast.

Source: Ground Forces of the Ukrainian Armed Forces on Facebook

Quote from Ground Forces: "In Lazurne, the Ukrainian defenders have destroyed the modern Russian radar station 48Y6-K1 Podlet."
Radar yenyewe hii hapa 48Y6-K1 Podlet radar,imeharibiwa na HIMARS. Ina range ya 200-600km hivyo ina uwezo wa kucover mpaka Kiev mji Mkuu wa Ukraine.
Ni Radar ya kisasa na imeanza kufanya kazi 2015,ndo Radar inayotumiwa na hata S400 kuangalia targets.
3248a37646deee213be0e62e85fb7099.jpg
 
Vipi kuhusu iron dome ?...yaani inatumia gharama kubwa kuzuia rockets na missiles ?
Ndio Mkuu Ile interceptor moja Tamir ya Iron Dome inacost $50,000-100,000 ndio maana hua inadestroy rocket ambazo zitaenda kutua kwenye makazi au miundombinu na zile ambazo zitaenda kutua eneo la wazi zinaachwa hazitunguliwi.
 
wenzio wanatest mitambo hawatak vita iishe , jiuliz kwnn watoe 12 tu

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
I know M.I.C modus operandi like back of my hand - nakubaliana nawe hawataki hii vita iishe, ndio maana wanamkalia kooni Zelensky hasikubaliane na Putin kusitisha vita ili wanufahike kupiga hela ndefu big time kupitia mbinu za ku-prolong vita nchini Ukraine - sasa sijui kama Zelensky na washauri wake wa karibu hilo wamekwisha liona au na wao ni part and parcel ya njama za kuendeleza vita ili wanufahike kwa upigaji pesa za walipa kodi wa Merikani.
 
Radar yenyewe hii hapa 48Y6-K1 Podlet radar,imeharibiwa na HIMARS. Ina range ya 200-600km hivyo ina uwezo wa kucover mpaka Kiev mji Mkuu wa Ukraine.
Ni Radar ya kisasa na imeanza kufanya kazi 2015,ndo Radar inayotumiwa na hata S400 kuangalia targets. View attachment 2298098
Radar yenyewe hii hapa 48Y6-K1 Podlet radar,imeharibiwa na HIMARS. Ina range ya 200-600km hivyo ina uwezo wa kucover mpaka Kiev mji Mkuu wa Ukraine.
Ni Radar ya kisasa na imeanza kufanya kazi 2015,ndo Radar inayotumiwa na hata S400 kuangalia targets. View attachment 2298098
Taarifa nyingi za jeshi la Ukraine zinawekwa chumvi wana shirikiana na waunda silaha wa magharibi kutangaza indirectly biashara ya silaha - ndio maana wanakimbilia kutangaza kwamba eti wameteketeza silaha za kisasa za Urusi na kuzitaja kwa majina,lengo ni kuwaribia biashara za silaha Warusi kwamba silaha zao ni za low quality hivyo hazifahi - ndio walivyo roho mbaya na ubinafsi uliyo kubuhu!!

Ninacho kisema hapa ni kweli tupu na wala siweki chumvi - chukulia mfano wa Urusi kutangaza kwamba wamefanikiwa kushambulia na kuharibu baadhi ya makombora ya HIMARS na hifadhi ya roketi zake - loh, Warusi walipo tangaza hilo,basi Waamerika wakaja juu kama nini, wakikanusha ukweli huo, yaani mpaka wizara ya ulinzi,wizara ya mambo ya nje na Serikali ya Zelensky wote wakakanusha vikali madai ya Urusi, just imagine, mpaka Ikulu inafikia hatua ya kukanusha taarifa za jeshi la Urusi, what does that tell you?? Halafu, kitu chenyewe ni HIMARS stuff not a big deal at all lakini Waamerika wanakanusha mpaka mishipa inawatoka, mnajua kwa nini?? Hawataki biashara ya HIMARS itiwe dosari kwamba silaha yao inaweza kushambuliwa na kuharibiwa kirahisi, lakini linapokuja suala la kuhusu uwezo wa silaha za Urusi au Uchina mara zote vyombo vya habari vya magharibi ukejeli na kubeza beza uwezo wa silaha za Warusi na Wachina kwamba ni takataka - yaani kampein zao chafu zinakuwa driven na uchoyo na roho zao za kutu, hawataki kabisa ushindani wa kibiashara au kuzidiwa kete na Urusi au Uchina wanatumia media zao, hongo na vitisho kuwalaghai potential buyers wa silaha zao - kumbukeni vitisho Turkey ilipotaka kununua S-400 kutoka Urusi, India vile ilitishiwa kuwekewa vikwazo vya kiuchumi wakinunua S-400 kutoka Urusi, kama nakumbuka vizuri hata China iliwahi kukemewa au kutishiwa kuwekewa vikwazo iwapo wangenunua S-400 kutoka Urusi, mwaka juzi nchini Singapore au Malaysia mkataba wa kununua fighters 20 type SU-30 kutoka Urusi ulifutwa kutokana na shinikizo la Merikani kwamba wakizinunua basi Taifa lao litawekewa vikwazo kunyimwa mikopo.

Hujuma za kibiashara linapokuja suala la ushindani wa kuuza silaha ni mkubwa sana, ebu tuchukulie mfano wa Podlet rada type 48Y6-K1 inayo undwa Urusi kwa nini vyombo vya habari vya magharibi na vyombo vyao vya ulinzi linaizungumzia sana,kunani? Jibu ni rahisi: Rada hiyo inatumiwa sana vile vile kwenye a formidable Russian Integrated Air defense type S-400 ambayo Amerika inavalia njuga silaha hii hisinunuliwe popote Duniani, wanao kahidi wanawekewa vikwazo vya kiuchumi na kunyimwa misaada na mikopo, sasa hii habari ya kusema eti HIMARS imefanikiwa kuharibu rada ya kisasa ya Urusi inayo tumiwa kwenye S-400 air defense systems, lengo la habari hizo potofu ni kutaka kuipunguzia sifa air defense system inayo sifiwa sana Duniani na kuogopewa na majeshi ya NATO ndio maana USA inapiga vita usambazwaji wa Russian air defense Duniani - wanatoa impression kwamba yeyote ataye nunua S-400 atakula hasara kwa kuwa inaweza kushambuliwa na HIMARS na kuteketezwa kabisa - ulaghai mtupu of couse.
 
Back
Top Bottom