Urusi huenda imebakia na nguvu ya mashambulizi kutoka angani tu, ardhini pumzi imekata?

Urusi huenda imebakia na nguvu ya mashambulizi kutoka angani tu, ardhini pumzi imekata?

Kumbe na wazungu matajili nao huwa wanapeleka laptop kwa fundi kama siye makapuku?😄😄
Yaani kuna watu ukisoma story zao unabaki kucheka tu, unajiuliza hivi huyu mtu hajui kuwa dunia ya sasa kila kitu kinafanyika kwenye cloud, kuna story hata ku reply unapata uvivu. Yaani mtoto wa biden aende kutengeneza laptop kwa fundi. 😂😂🤩
 
Ndiyo.
Lengo linaweza kuwa ni kuokoa taarifa(data) au nyaraka muhimu toka kwenye hiyo laptop.
Watu wa service wenyewe wanakuwa makampuni makubwa au freelancer ambao ni very expert kwenye hizo kazi.
Siyo kama jamaa zetu wa uchochoroni kariakoo.
Unfortunately jamaa alisahau hakuna kitu inapotea jumla kwenye mambo ya ICT. Once ukitengeneza data na kuitunza kwenye kifaa cha kielectroniki ujue bado kipo sehemu, ipo siku kinaweza kuibuka tena mikononi mwa adui zako.

Tuwe makini sana na maandishi(emails, chats, sms), mapicha, sauti, video za faragha au za matukio ya siri kubwa au faragha.

Ile permanent deletion ni illusion tu kwenye macho yetu huwa bado zina baki trails au foootprints kwenye device zetu watu wana recover au reconstruct upya hizo data.
Vipande vilivyopotea kabisa wanajazia na teknolojia za kisasa.

Kwani hizi data si zipo ktk mfumo wa nishati(energy) ya sumaku au umeme? Ukikumbuka Energy can neither created nor destroyed utaziogopa sana data.
Ni kwa sababu unatumia programs za bure, dunia ilipofika now everything inafanywa kwenye cloud. You need an account and password tu. Hakuna taarifa inayokuwa stored kwenye hardware kwenye dunia ya sasa, So hayo mambo ya data recovery bado yapo huku tu dunia ya tatu. Ukiona taarifa imevuja basi ujue ni kazi ya hackers tu na si vinginevyo.
 
Ardhini kakwama kabisa vifaru magari yamechomolewa vipuli yoooote imepelekea mkuu wa kamandi kujiua na mshauri wa Putin kukimbia nchi
 
Ni kwa sababu unatumia programs za bure, dunia ilipofika now everything inafanywa kwenye cloud. You need an account and password tu. Hakuna taarifa inayokuwa stored kwenye hardware kwenye dunia ya sasa, So hayo mambo ya data recovery bado yapo huku tu dunia ya tatu. Ukiona taarifa imevuja basi ujue ni kazi ya hackers tu na si vinginevyo.
Kwani huko kwenye cloud data zinahifadhiwa hewani tu hakuna hardware?

Haya maendeleo ambayo hardware hazipo tena tumefikia lini?

Kwani cloud nini hata data zisitunzwe kwenye hardware kwa hao wanao host hizo data ambako unapoingia kwa credentials zako ulizosema?

Je unatumia kifaa gani kuingia kwenye cloud account?
Je kifaa hicho hakiwezi kutunza data?

Vipi unafahamu nini juu ya offline na off-site backup ya data muhimu?

Je unajuwa kuna makampuni ambayo kwa usalama na unyeti wa data zao kuna vitu vingine wanakataza kabisa kuhifadhi kwenye cloud au kuunganisha kifaa choko online?

Nasubiri majibu nijifunze zaidi.
 
Bure sana, Urusi ni dhaifu hadi wanatia huruma

 
Kwani huko kwenye cloud data zinahifadhiwa hewani tu hakuna hardware?

Haya maendeleo ambayo hardware hazipo tena tumefikia lini?

Kwani cloud nini hata data zisitunzwe kwenye hardware kwa hao wanao host hizo data ambako unapoingia kwa credentials zako ulizosema?

Je unatumia kifaa gani kuingia kwenye cloud account?
Je kifaa hicho hakiwezi kutunza data?

Vipi unafahamu nini juu ya offline na off-site backup ya data muhimu?

Je unajuwa kuna makampuni ambayo kwa usalama na unyeti wa data zao kuna vitu vingine wanakataza kabisa kuhifadhi kwenye cloud au kuunganisha kifaa choko online?

Nasubiri majibu nijifunze zaidi.
Akikujibu nistue, maana nimegundua wabongo tuna ujuaji mwingi ambao ni upofu mtupu ktk kupata maarifa zaidi.
 
Propaganda za USA na EU zitakufanya uwe chizi wewe, mbona hiyo video haioneshi Askari wanaozidi hata 25, ndiyo wamekuwa 500 [emoji848][emoji15]

"Ama kweli Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa" [emoji12]

Vipi Kiev bado ni mfupa uliomshinda fisi, nakumbuka kituko Putin akimpa rais wa Ukraine masaa 24 ajisalimishe, ha ha ha!!
 
Vipi Kiev bado ni mfupa uliomshinda fisi, nakumbuka kituko Putin akimpa rais wa Ukraine masaa 24 ajisalimishe, ha ha ha!!
Halafu ninyi na hao mumiani wa nchi za magharibi ni wapuuzi sana; wenzenu wanaumizwa, nchi yao inavurugwa, lakini nyie mnaendelea kuwachochea tu waendelee kupigana wakati wanapigwa?
 
Halafu ninyi na hao mumiani wa nchi za magharibi ni wapuuzi sana; wenzenu wanaumizwa, nchi yao inavurugwa, lakini nyie mnaendelea kuwachochea tu waendelee kupigana wakati wanapigwa?

Kilichmtuma Putin kwenye nchi ya watu atajutia sana, imeshindikana, wanajeshi wake wameuawa wengi, Urusi inaendelea kuanguka kiuchumi, na Warusi wanachukiwa na kutengwa na dunia, alibugi mbaya mno na bado atakoma.
 
Propaganda za USA na EU zitakufanya uwe chizi wewe, mbona hiyo video haioneshi Askari wanaozidi hata 25, ndiyo wamekuwa 500 [emoji848][emoji15]

"Ama kweli Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa" [emoji12]
Hata mimi siamini kwamba mpaka leo eti Urusi bado inasumbuliwa na kijeshi dhaifu cha Ukraine huenda hii vita iliisha siku nyingi Ukraine walishindwa kabisa ila tunafichwa kinachoendelea. Kwa ukubwa wa jeshi la Urusi ilipaswa kuwa operation ya siku tatu tu iwe imemaliza kila kitu.
 
Hata mimi siamini kwamba mpaka leo eti Urusi bado inasumbuliwa na kijeshi dhaifu cha Ukraine huenda hii vita iliisha siku nyingi Ukraine walishindwa kabisa ila tunafichwa kinachoendelea. Kwa ukubwa wa jeshi la Urusi ilipaswa kuwa operation ya siku tatu tu iwe imemaliza kila kitu.
"Huamini" halafu hapo hapo na ww unasema "huenda".
Wote ninyo hakuna mwenye taarifa sahihi kila mtu ana buni kutokana na hisia zake.
 
Back
Top Bottom