Urusi huenda imebakia na nguvu ya mashambulizi kutoka angani tu, ardhini pumzi imekata?

Urusi huenda imebakia na nguvu ya mashambulizi kutoka angani tu, ardhini pumzi imekata?

Nikishasikia mtu anajenga hoja kwa kutumia neno 'Western propaganda' naachana nae.
Mission ya Russia ni kuivamia Ukraine, hakuna sehemu Ukraine amesema anataka kuisambaratisha Russia kwa kutumia missile bali wamesema watajilinda dhidi ya uvamizi. Ndio maana battle field imekuwa hapo Ukraine.
Ndio maana Ukraine imewaacha wanajeshi wa Russia waingie Ukraine ili wachapike vizuri.
Kiuhalisia Ukraine hana uwezo wa kuivamia Russia ila mbinu za Russia kuivamia Ukraine ndizo zimewafanya wachapike vizuri.
[emoji16][emoji16][emoji16]
FOj6Qf1VgAE1wB3.jpg
 
Hakuna taifa lenye akili timamu litakalo msapot mrusi , sana sana wata kaa kimya tu

Mmarekan kila mwaka anaingiza china sio chini ya $800 bilion , Mrusi anachoingiza china n riba ya mikopo tu ambayo haizid $10 Bilion... Yan china apoteze Biashara ya karibu $900 Bilion kwasababu ya $10 Bilion?? Hakuna mtu mjinga kias hicho ww
Mtu yeyote anayeishabikia USA inayonuka damu namwona ni mpumbavu wa kiwango cha SGR.

Kujipendekeza kote huko mmenyofolewa neurons za bongo zenu hadi msitambue hata maisha haya mnayoishi katika karne hii ni huyo huyo ndiye aliyewasababishia kwa kuwapatia mikataba migumu kama wa madini ya Barrick, ushoga kibiashara juu ya rasilimali zenu?

Hao Boko Haram, waasi kule nchini DRC ni nani anayewafadhili?

IRAQ, LIBYA, YEMEN, SYRIA, AFGHANISTAN na VIETNAM ni nchi ipi iliyomwaga damu nyingi za Watu wasio na hatia na kunyang'anya mafuta na gesi [emoji848]

Fikiri nnje ya boksi kiakili (ubongo) siyo kuendeshwa endeshwa tu na mahaba(moyo)
 
Nikishasikia mtu anajenga hoja kwa kutumia neno 'Western propaganda' naachana nae.
Mission ya Russia ni kuivamia Ukraine, hakuna sehemu Ukraine amesema anataka kuisambaratisha Russia kwa kutumia missile bali wamesema watajilinda dhidi ya uvamizi. Ndio maana battle field imekuwa hapo Ukraine.
Ndio maana Ukraine imewaacha wanajeshi wa Russia waingie Ukraine ili wachapike vizuri.
Kiuhalisia Ukraine hana uwezo wa kuivamia Russia ila mbinu za Russia kuivamia Ukraine ndizo zimewafanya wachapike vizuri.
Rais wa Ukraine ata-declare neutrality, na kipande cha Ukraine kitachukuliwa na Urusi.
NATO hataki kukaa Ukraine, najua hizo ni ndoto za watu wengi lakini ni vyema kuishi katika ukweli.
Hata Kamuzu Banda alilitaka ziwa Nyasa lote, lakini ilibidi aukubali ukweli.
Hata USA operations zake zote mpaka akaanza kuingia mtaa kwa mtaa, the shortest was 42 days.
Russia ana wanajeshi 190,000 Ukraine. Jumla ya wanajeshi wake wote ni 1.1 million, na reservists about 2 million.
Tuishi kwenye ukweli.
 
Siyo kweli, warusi wanajua kurusha makombora na kubomoa majumba tu, siyo kupigana vita. Wanavyofanya sasa hivi Ukraine ndivyo walivyofanya Aleppo Syria na pia walifanya hivyo Grozny Chechnya. Siku chache zijazo Ukraine itapata Patriot Air Defense System uone kama Urusi itaweza vita tena.
Mbona huko Syria Aleppo hizo patriot hazikumzuwia Assad asiwasambaratishe waasi waliokuwa wanasaidiwa na USA na wenzie wa NATO?
 
Uteketeze 80% ya nguvu za kijeshi halafu ushindwe kumiliki hata kijiji? Hizi propaganda za kijamaa ni kiboko.
Mariupol City halijawekwa chini ya Russia hadi dakika hii, mahaba yatakuua Mmarekani mweusi toka Mwabepande wewe [emoji38]
 
Luxem kuwa tajiri inachangia na watu wachache walio nao, nchi ina watu laki sita.

Kama nilivyokuambia ogopa nchi ambayo ina PPP kubwa.

Ipo hivi, Russia akiivamia USA hawezi kushinda, na US wakiivamia Russia hawatoshinda.
Sana sana wakianza missile, naweza sema Russia kwenye ulinzi wa anga wapo vizuri sana.

US kwenye teknolojia ya missiles yupo vizuri mno.

Kwa hio vita ni ngumu, sana sana wataiharibu dunia na mshindi hatokuwepo.
Kama utakumbuka nimekuuliza. Inawezekana technology aliyo nayo USA na Mrusi anayo lkn m kwa kias gani? Inawezekana wote tuna armoured vehicles lkn ww una 1,000 mm nina 20k .. hata kama zina capacity moja nitakushinda tu

Mfumo wa urus s400 inawezekana ndio bora ila je , una uwezo wa kuhimil mashambuliz kias gani. anga la Syria linalindwa na mrusi lkn kila siku Israel anadondosha makombora tu Syria

Hiyo inatuambia kwamba hii mifumo haifanyi kazi at 100%

Yes, yana weza intercept missiles .. sawa je, zikija 20 kwa pamoja una mtambo wa kurusha kombora 20 at per ku intercept hizo? Iweze pick moja ifanye calculations za kila moja na ku pin point kila moja litakapo pita ikali intercept??

Economically , USA is superior to everyone..

Pale marekan pekee kuna majimbo yana uchumi mara tatu ya Russia , kuna majimbo matatu kama sio manne yana uchumi mkubwa kuliko Russia , huwez pigana vita ya namna hii, USA inaweza weka mezan budget ya vita vs Russia ambayo n kubwa kuliko uchumi wa Urus yote

Kitu ambacho kinaweza sababisha tusije ona vita kati ya USA na Russia n makombora ya Nuclear, Ukraine ilifanya makosa makubwa sana kumpatia Russia hayo mavitu
 
Iran anauza mafuta nje hauzi?

Vikwazo ambavyo havigus unapopatia pesa hivyo sio vikwazo , wahongwe stop kuuza wese nje uone miaka miwili itapita wapo


Alafu Iran is no where close to that, Soleman asinge uwawa kirahisi hivyo

Russia hakuwah fka alipofika Venezuela but where is Venezuela today??
Unabadilika badilika kwa maelezo yako hata hujui chochote unachosimamia, we kaa kimya tu.
 
Ukitaka kujua nguvu ya US jiulize kwann Kila mara US ndio anawawekea vikwazo wenzake na yy ni nadra kusikia amewekewa vikwazo na nchi nyingine.
Tayari RUSSIA kashamwekea vikwazo USA na EU hawatakiwi kununua gesi bila ya thamani ya pesa za RUSSIA "rubbles"
 
We unapiga story gani, hebu kasome, Iran imewekewa vikwazo na walipigana na Iraq miaka 8, Iraq ikipewa kila aina ya msaada, USSR, US, EU zote zilimsapoti Sadam, ikafikia wakati wakaona hawa kuwamaliza ni kuwapiga sumu, na hapo vita ikasimama, lakini mshindi hakuwepo.

Vikwazo kwa nchi kama Russia haviwezi kufanya kazi, US hana uwezo wa kuipa Russia vikwazo, kuipa vikwazo Russia ni kuipa vikwazo EU.

Ngoja uone kama EU hawajamgeuka US siku za usoni kuhusu gas.

US penyewe maisha yamepanda mpaka watu wanavuka mpaka kwenda kununua mafuta Mexico.

Kuna nchi gani ilishawahi kuitingisha US hivyo kiuchumi?

We unacheza..
Mkuu unatumia nguvu na akili kubwa sana kumnufaisha mahaba niue wa USA na EU bila malipo yoyote, muhimu mpotezee tu [emoji16]
 
Mbona huko Syria Aleppo hizo patriot hazikumzuwia Assad asiwasambaratishe waasi waliokuwa wanasaidiwa na USA na wenzie wa NATO?
Hazikuwapo na wala wale waasi hawakuwa wanasaidiwa na marekani. Lengo la Marekanikule ilikuwa ni kumtafuta kiongozi wa ISIS na walimpata.
 
Nionavyo mimi NATO hawataki kujitokeza moja kwa moja ili kuepusha WWW III. Russia anachapika sana kwenye ground sema anawaaminisha vichwa ngumu kuwa ni Western propaganda. Angekuwa hachapiki ange balance taarifa kwa kutoa taarifa za upande wake mara kwa mara.
Anachokifanya Urusi ni kulipua majengo tu hatuoni madhara mengine makubwa ukiachilia hayo majengo na baadhi ya raia na wanajeshi wachache wanaokufa
Wewe ni kiazi kweli ulitaka alipue nini au vita ni nini
 
Hongera sana mtunzi wa somo hili leo hii. Urus kabla ya kuivamia Ukraine alionesha dalili za uchokozi hivyo nchi karibia zote za NATO ziliisha jiandaa jinsi gani ya kuisaidia Ukraine ili Urusi iporoke kiuchumi na kukosa dira.

kitakacho bakia sasa ni kona urusi imeshindwa vita na NATO hawatatoa Vikwazo vya kiuchumi mpaka mahakama kuu ya the hague iwashitaki watawala wa Urusi kwa makosa ya mauaji . Hitler alijinyonga sasa puttin sijui atafanyaje.

Nchi tajiri kama venezuela yenye mafuta mengi na uchumi azizi iliwekewa vikwazo vya kiuchumi na marekani na support ya EU ilihusika. Venezuela walisota raia zake mpaka watu milion sita wakakimbia nchi kama wakimbizi. yaani hata toilet paper walikuwa wananunua kwa folleni! wewe ngoja tuu athari ya vikwazo ikianza kufanya kazi Urusi, itakuja kutokea folleni hata za kununua mchicha na pilipili mbuzi!
dah,mawazo mengine hatari sana,kuifananisha urusi na venezuela,inamaana hujiulizi hata kidogo kuwa urusi ni nani?ulaya na marekani wamemwekea vikwazo,lakini ghafla vitu vimepanda bei ulaya yote na marekani kwenyewe,mpaka wananchi wanaandama,jifikirishe walau kidogo tu,nguvu ya urusi kiuchumi hapa duniani.dunia nzima vitu vimepanda ovyo ovyo.
 
Malengo ya Russia yalikuwa to demilitarize and denazify Ukraine SIYO kuiteka na kuikalia! Kitu ambacho Russia inafanikiwa.Russia imeharibu miundo mbinu ya kijeshi ya Ukraine kwa asilimia kubwa(demilitarization) na kuyakomboa majimbo ya Donbass ambayo yalikuwa yanateswa na majeshi ya Nazi ya Ukraine.
 
Siyo kweli, warusi wanajua kurusha makombora na kubomoa majumba tu, siyo kupigana vita. Wanavyofanya sasa hivi Ukraine ndivyo walivyofanya Aleppo Syria na pia walifanya hivyo Grozny Chechnya. Siku chache zijazo Ukraine itapata Patriot Air Defense System uone kama Urusi itaweza vita tena.
vichekesho vingine shida sana,eti patriot,wa houth wa yemen,hawana tecnology yoyote,kila siku wanalipua saud arabia, na patriot zao zinalipuliwa,sada mrusi mwenye hypersonic ndo umzuie na patriot?
 
Mimi binafsi sipendi vita, na katika vita vya Ukraine sitaki kushabikia upande wowote kuhusu mauaji, japokuwa siungi mkono kabisa uvamizi wa kijeshi wa Russia katika nchi ya Ukraine kwa kuwa ilitosha mgogoro huu kumalizwa kidiplomasia.

Nilihisi na hata kutamani kuona Urusi ikimaliza tukio la kuivamia Ukraine ndani ya siku tatu tu ili kuepusha mauaji endelevu ambayo yangetokana na muendelezo wa kupigana vita kwa muda mrefu. Lakini hali imekuwa tofauti sana, mpaka leo hii, takribani mwezi mmoja tangu kuanza vita vya Ukraine hali bado tete huku Russia ikishindwa kumaliza shughuli za uvamizi kwa wakati.

Ukiachilia mashambulizi kutoka angani ambayo kutwa na usiku yamekuwa yakifanywa na Russia, tena yakilenga makazi ya watu, shule, hospitali, taasisi za uzalishaji nishati na maeneo mengine ya umma, hakuna kipya, kikubwa na cha zaidi ambacho Russia inaelekea kukifanya kupitia ardhini. Nguvu ya kupigana vita vya ardhini ni kama ndogo au inakumbana na upinzani mkali kutoka kwa wanajeshi wa Ukraine. Sehemu ya askari wa Russia waliofanikiwa kuingia na kukaa katika miji ya Ukraine ni kama wametelekezwa na Russia kiasi cha kukosa chakula au kuzingirwa upya na kisha kuangamizwa na askari wa Ukraine

Nawaza tu, mara ghafla anga la Ukraine na mataifa jirani yanayozunguka Ukraine likifungwa na kuzuiwa kwa Russia kukaribia ili kuishambulia Ukraine, nini kitafuata?
Naona UK na US pumzi zimekata, leo vyombo vya habari havizungumzi urusi kurudishwa nyuma. Sana sana Mariapol wanasema raia watoke hakuna chakula , kiev napo wanasubiriwa watoke kwenda kutafuta chakula mrusi kabana njia zote.

Hii vita imechochewa na US kutaka deal la Gas uropa
 
Back
Top Bottom