Urusi imeingia kwenye 18 ya Marekani, dunia ijiandae kuona majimbo mapya ya Marekani katika ardhi ya Urusi

Kuna wakati najiskia kucheka, wizara ya ulinzi Russia inasema tumeondoka maeneo Yale na Yale kwa sababu Ukraine katumia silaha za West...
Kwa nin Russians wasijibu kwa silaha za kirusi?
 
Wewe ukiwa hapo hapo Buza na kuishauri china?????
 
Angemuogopa asingetuma silaha kwa uwazi.
Mmarekani anaepusha madhara ya vita kwa dunia kwani vita sio mchezo wa rede
Mkuu hakika wewe unaona mbali sana. Asante kwa ufafanuzi ulionyooka.
 
Marekani kukanyaga ardhi ya Russia ni kitu hatari anachoogopa kufanya hata kwa bahati mbaya.
Ni sawasawa na tembo kukanyaga ufalme wa simba.
 
Huu ndio ukweli ambao vijana wa Putin wengi hawataki kuusikia.
 
Mkuu Mmarekani kupitia CIA yake, kamwe huwa hawaingii kwenye vita au kufadhili vita bila kufanya research yoyote ili kujiridhisha kwanza na kile watachokifanya.
Kwahiyo toka mwanzo wa vita au kabla ya vita, tayari Mmarekani alikuwa ashajua kwamba ni lazima Russia itakuja tu kushindwa vita (haijalishi ni lini) afu ndipo hapo watakapokamilisha mipango yao.
 
hujamsikia mpambe wake yule kiongozi wa chechinia,amemshauri atumie tu nyuklia,ili mambo yasiwe mengi
Yule kiongozi wa chech hajui ni hatari gani itakuwa mbele yao endapo Putin atathubutu kutumia nuk.
Bahati nzuri Putin na maofisa wake wameshaiona hatari iliyopo mbele, kwahiyo wamesitisha uwezekano wa kutumia nuk ktk vita hii.
 
Marekani kukanyaga ardhi ya Russia ni kitu hatari anachoogopa kufanya hata kwa bahati mbaya.
Ni sawasawa na tembo kukanyaga ufalme wa simba.
Tembo huwa anajipitia popote tu ilimradi iwe njia yao. Hata makazi ya binadamu.
 
Putin alipiga mkwara kwamba kama wanajeshi wa Ukraine hawatojisalimisha wao na silaha zao au kumpindua raisi wao. Basi wajue kwamba siku 5 zilizopo mbele yao ndio utakuwa mwisho wao.

Sasa jeshi halikujisalimisha na badala yake linatoa kichapo kitakatifu kwa genge la Putin mpaka mwenyew anahisi kuchanganyikiwa.
 
Ni uhuru wako kufikiri hicho unachofikiri mkuu. Ila uendelee kutega sikio kuhusu vita hivi vinavyoendelea huko Ukraine, nina imani siku zijazo hautoonekana tena humu kuandika hiki ulichoandika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…