green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 12,387
- 39,119
Anaogopa kutolewa rinda na hili dudeAnamuogopaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaogopa kutolewa rinda na hili dudeAnamuogopaje?
😂 😂 😂 😂 😂Daaah, ila Putin sio kwa mikwara ile ambayo alikuwa anafoka.
Sahv Kawa kama Kabudi tu🤣🤣
😂😂😂Nilishalisema hili tangu mwanzo kwamba fashisti Putin ameingizwa king na yeye akajaa kweli kweli [emoji2]
Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
We ndio muongo mkubwaAcha uongo mkuu! Putin alisema atakaye ingiza jeshi ukraine na sio atakaye msaidia ukraine.
Hata Iraq ilikuwa ni propaganda mwishoni akaliwa shingoAcha kabisa US kwa kusambaza propaganda mleta mada kalishwa matango
Kabla ya Russia kuivamia Ukrean nakuunga mkono sana kwa sababu US alikuwa hajui mrussi ana nini., Lakini baade kidogo kwenye hii vita ama operation US akagundua kumbe jamaa ni mweupe sana, Putini alifungasha vifaru vya tokea Soviet na USSR msururu toka gongo la mboto hadi kariakoo, Amerika wakawa wanacheka sana kwamba kumbe jamaa silaha hizi ndio alijiandaa nazo kuvamia ukrean??Mmarekani anamuogopa mrusi kuliko hata wewe unavyodhani.
hana alichobakiza zaidi ya nuklia..mavifaru yote yamekua majivu.Mimi Mrussia wa huku Madongo kuinuka,niliambiwa vita ile Ukraine ingeisha ndani ya week tu.
Nilipona week imepita nikafa moyo juu ya ushindi.
Kusema kweli tunabisha tu ila yule Comedian asingeweza kujiamini vile kubaki Ukraine kwa ile Mikwara aisee.
Jamaa anakuja kuwa Man of the Match kama vile Suarez alichotufanya na Ghana ile 2010 WC.
Habari za kushupaza mishipa juu ya Russia zimenifanya nione aibu sasa kwa Jirani zangu Ukraine.
Putin the KGB aliniaminisha kuwa anaikaanga Ukraine kwa sekunde tu..anyway ngoja tusubiri silaha zilizobakia.
hujamsikia mpambe wake yule kiongozi wa chechinia,amemshauri atumie tu nyuklia,ili mambo yasiwe mengiInawezekana huu uvamizi wa Putin ukaanzisha uasi wa kimajimbo ndani ya Russia. Ni suala la muda.
Silaha za mrusi ni superior kuliko silaha za nchi yoyote ulimwenguni ndio maana anaogopwa.Anamuogopaje?
America is an evil country, we'll should stand firm to oppose the American neo colonialism agenda as far as world peace is corcerned.Mkuu hayo yote yanawezekana. Unaweza kuanzishwa uasi utakaofadhiliwa na Marekani.
Mwisho wa siku waasi hao watasema wanataka uhuru wao ili wawe nchi huru, mazungumzo yanafanyika waasi wanapewa uhuru wao marekani anakamilisha mission yake.
Bado russia ana silaha kali na za hatari mnooo, sema anawaonea huruma vilaza wa bara la afrika.hana alichobakiza zaidi ya nuklia..mavifaru yote yamekua majivu.
Hiki ndicho kinachoniumiza Mimihana alichobakiza zaidi ya nuklia..mavifaru yote yamekua majivu.
hizo ndio polojo tuliokuwa tukiaminishwa toka tukiwa shule ya msingi, kuwa URUSI ni jitu kubwa na hatari sana kwenye medani za kivita, na dunia kuliamini kinachoonekana sasa hivi ni tofauti kabisa na uongo ule!! eti USA,ana muogopa sana URUSI,?! kama vi ji siraha hivyo vidogo tu kwa USA, ni kama manati tu ambavyo ana mpatia UKRAINE, tayari mbambe wa mchogo yupo hoi! Sasa akianza kutumia japo gobole itakuwaje?!
leo hii hata maeneo ambayo ameyatangaza kuwa sasa ni mali ya Urusi yameanza kuchukuliwa na UKRAINE. URUSI wakati vita inaanza alisema ole wake atakaye msaidia Ukraine naye atajumuishwa humo humo, nini kimemkuta USA?
Vita bado na ikianza lasmi itapigwa kwa mda mfupi sana, huyu mzee msimchukulie pow kwa haya anayo yafanya kwa sasa,hizo ndio polojo tuliokuwa tukiaminishwa toka tukiwa shule ya msingi, kuwa URUSI ni jitu kubwa na hatari sana kwenye medani za kivita, na dunia kuliamini kinachoonekana sasa hivi ni tofauti kabisa na uongo ule!! eti USA,ana muogopa sana URUSI,?! kama vi ji siraha hivyo vidogo tu kwa USA, ni kama manati tu ambavyo ana mpatia UKRAINE, tayari mbambe wa mchogo yupo hoi! Sasa akianza kutumia japo gobole itakuwaje?!
leo hii hata maeneo ambayo ameyatangaza kuwa sasa ni mali ya Urusi yameanza kuchukuliwa na UKRAINE. URUSI wakati vita inaanza alisema ole wake atakaye msaidia Ukraine naye atajumuishwa humo humo, nini kimemkuta USA?
na ndio maana aliionya Urusi isivamie Ukraine hapo mwez Feb , Urusi kwa ubabe wakea akasema anafanya mazoez tu hana mpango wa kuvamia , bas Urusi ilivyo na huruma na undugu ikaivamia ukraine mwez huo huo kwa kustukiza wakati kwa ubabe wao walikana hawatavamia UkraineMmarekani anamuogopa mrusi kuliko hata wewe unavyodhani.