Urusi imeishika pabaya Israel kuhusiana na Unazi

Urusi imeishika pabaya Israel kuhusiana na Unazi

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Katika vita vinavyoendelea kati ya Urusi na Ukraine kumezuka mambo mengi yaliyokuwa hayakutarajiwa.Moja ya hilo ni kauli ya waziri wa mambo ya nje wa Urusi kuwa Hitler alikuwa ni myahudi.

Israel imekuwa daima ikiomboleza kuuliwa kwa wayahudi katika vita vikuu vya pili vya dunia kwa watu wao wanaodai ni milioni 6 kulikofanywa na kiongozi wa nazi Adolf Hitler

Sergei Lavrov alitoa kauli hiyo siku ya Jumapili iliyopita katika mahojiano na kituo cha runinga cha Italy katika kipindi chake kinachoitwa Zona Bianca.Mtangazaji alimuuliza Sergei kwamba inakuwaje Urusi inasema inapigana na Ukraine ili kuondoa athari za wanazi wakati raisi wa nchi hiyo mwenyewe Vodolomy Zelensky ni myahudi.

Katika jibu lake akasema "I could be wrong, but Hitler also had Jewish blood. [That Zelensky is Jewish] means absolutely nothing. Wise Jewish people say that the most ardent anti-Semites are usually Jews."

Hii ingekuwa na maana kuwa watu wenye roho mbaya sana na wabaguzi wakubwa duniani ni wanazi jambo ambalo Israel inapingana nalo kwa sababu itakuwa na maana wayahudi kwa matendo na maamuzi yao huwa wanajiangamiza wenyewe.
 
Katika vita vinavyoendelea kati ya Urusi na Ukraine kumezuka mambo mengi yaliyokuwa hayakutarajiwa.Moja ya hilo ni kauli ya waziri wa mambo ya nje wa Urusi kuwa Hitler alikuwa ni myahudi. Israel imekuwa daima ikiomboleza kuuliwa kwa wayahudi katika vita vikuu vya pili vya dunia kwa watu wao wanaodai ni milioni 6 kulikofanywa na kiongozi wa nazi Adolf Hitler
Sergei Lavrov alitoa kauli hiyo siku ya Jumapili iliyopita katika mahojiano na kituo cha runinga cha Italy katika kipindi chake kinachoitwa Zona Bianca.Mtangazaji alimuuliza Sergei kwamba inakuwaje Urusi inasema inapigana na Ukraine ili kuondoa athari za wanazi wakati raisi wa nchi hiyo mwenyewe Vodolomy Zelensky ni myahudi.Katika jibu lake akasema "I could be wrong, but Hitler also had Jewish blood. [That Zelensky is Jewish] means absolutely nothing. Wise Jewish people say that the most ardent anti-Semites are usually Jews."
Hii ingekuwa na maana kuwa watu wenye roho mbaya sana na wabaguzi wakubwa duniani ni wanazi jambo ambalo Israel inapingana nalo kwa sababu itakuwa na maana wayahudi kwa matendo na maamuzi yao huwa wanajiangamiza wenyewe.
Hayo yako wazi na yanajulikana, tatizo ni nani atapaza Sauti katika dunia hii inayoongozwa na kabila moja lisilogusika kwa kipindi hiki. Ukiigusa Marekani umeligusa kabila hilo, west europe umeligusa kabila hilo na huko Ukraine ndio wamejaa.

Kuwa Hitler alikuwa na damu ya Kiyahudi imeandikwa katika vitabu vingi tu, pengine Watanzania ni wavivu tu wa kusoma vitabu lakini si jambo geni. Tena katika vitabu hivyo wameandika vizuri sana mpaka na kutaja ni ndugu gani aliyekuwa myahudi katka nasaba zao. Someni vitabu ndugu zanguni, Anzeni na " My strugle by Hitler mwenyewe"
 
Israel asiwachokoze hawa jamaa wana wataalamu wa vita sana hata Marekani hajawahi kuibeza Izrael akija akiamua kuingilia vita ya Ukraine na kushirikiana naye Mrusi wa mchongo ataumia sanaa
Ndugu yangu nchi ya Ulaya yenye Wayahudi wengi kuliko nyingine Zote ni Ukraine. Ukiigusa Ukraine umeigusa Israel kama hukujua. Mpango uliokuwepo juu ya Ukraine huko mbeleni ni mkubwa kuliko unavyofikiri wewe.

Toka vita ianze waziri wa Israel ameshaenda Urusi mara 6, jiulize kwanini. Zelensky hakuwa Raisi pale Ukraine kwa bahati mbaya, ulikuwa mpango maalum na mahsusi. Baada ya miaka 20 Ukraine ingekuwa vizuri kiuchumi na kijeshi kuliko nchi yeyote ile Ulaya. Mpaka sasa tu walishaandaliwa vizuri sana, ndio maana mrusi akaona kuwa akichelewa amekwisha.

Lavrov hakusema kauli hiyo kawa bahati mbaya, alijiandaa vizuri sana na nyuma yake anaungwa mkono na wengi tu.
 
Katika vita vinavyoendelea kati ya Urusi na Ukraine kumezuka mambo mengi yaliyokuwa hayakutarajiwa.Moja ya hilo ni kauli ya waziri wa mambo ya nje wa Urusi kuwa Hitler alikuwa ni myahudi. Israel imekuwa daima ikiomboleza kuuliwa kwa wayahudi katika vita vikuu vya pili vya dunia kwa watu wao wanaodai ni milioni 6 kulikofanywa na kiongozi wa nazi Adolf Hitler
Sergei Lavrov alitoa kauli hiyo siku ya Jumapili iliyopita katika mahojiano na kituo cha runinga cha Italy katika kipindi chake kinachoitwa Zona Bianca.Mtangazaji alimuuliza Sergei kwamba inakuwaje Urusi inasema inapigana na Ukraine ili kuondoa athari za wanazi wakati raisi wa nchi hiyo mwenyewe Vodolomy Zelensky ni myahudi.Katika jibu lake akasema "I could be wrong, but Hitler also had Jewish blood. [That Zelensky is Jewish] means absolutely nothing. Wise Jewish people say that the most ardent anti-Semites are usually Jews."
Hii ingekuwa na maana kuwa watu wenye roho mbaya sana na wabaguzi wakubwa duniani ni wanazi jambo ambalo Israel inapingana nalo kwa sababu itakuwa na maana wayahudi kwa matendo na maamuzi yao huwa wanajiangamiza wenyewe.
Mhmm itazusha mgogoro ktk mahusiano yao.
 
Hayo yako wazi na yanajulikana, tatizo ni nani atapaza Sauti katika dunia hii inayoongozwa na kabila moja lisilogusika kwa kipindi hiki. Ukiigusa Marekani umeligusa kabila hilo, west europe umeligusa kabila hilo na huko Ukraine ndio wamejaa.

Kuwa Hitler alikuwa na damu ya Kiyahudi imeandikwa katika vitabu vingi tu, pengine Watanzania ni wavivu tu wa kusoma vitabu lakini si jambo geni. Tena katika vitabu hivyo wameandika vizuri sana mpaka na kutaja ni ndugu gani aliyekuwa myahudi katka nasaba zao. Someni vitabu ndugu zanguni, Anzeni na " My strugle by Hitler mwenyewe"
Hata Lenin alikuwa na damu ya kiyahudi watz ni wavivu sana kusoma
 
Hii ingekuwa na maana kuwa watu wenye roho mbaya sana na wabaguzi wakubwa duniani ni wanazi jambo ambalo Israel inapingana nalo kwa sababu itakuwa na maana wayahudi kwa matendo na maamuzi yao huwa wanajiangamiza wenyewe.


Hii ni sahihi kabisa, Waisraeli wengi wanaroho mbaya na hufanya mambo ambayo hatimaye hupelekea maangamio yao wenyewe.
 
Katika vita vinavyoendelea kati ya Urusi na Ukraine kumezuka mambo mengi yaliyokuwa hayakutarajiwa.Moja ya hilo ni kauli ya waziri wa mambo ya nje wa Urusi kuwa Hitler alikuwa ni myahudi. Israel imekuwa daima ikiomboleza kuuliwa kwa wayahudi katika vita vikuu vya pili vya dunia kwa watu wao wanaodai ni milioni 6 kulikofanywa na kiongozi wa nazi Adolf Hitler
Sergei Lavrov alitoa kauli hiyo siku ya Jumapili iliyopita katika mahojiano na kituo cha runinga cha Italy katika kipindi chake kinachoitwa Zona Bianca.Mtangazaji alimuuliza Sergei kwamba inakuwaje Urusi inasema inapigana na Ukraine ili kuondoa athari za wanazi wakati raisi wa nchi hiyo mwenyewe Vodolomy Zelensky ni myahudi.Katika jibu lake akasema "I could be wrong, but Hitler also had Jewish blood. [That Zelensky is Jewish] means absolutely nothing. Wise Jewish people say that the most ardent anti-Semites are usually Jews."
Hii ingekuwa na maana kuwa watu wenye roho mbaya sana na wabaguzi wakubwa duniani ni wanazi jambo ambalo Israel inapingana nalo kwa sababu itakuwa na maana wayahudi kwa matendo na maamuzi yao huwa wanajiangamiza wenyewe.


Putin kawashtukia Waisraeli, kwani kupitia Zelensky walitaka kuifanya Ukraine kama Esraeli ya Ulaya.
 
Katika vita vinavyoendelea kati ya Urusi na Ukraine kumezuka mambo mengi yaliyokuwa hayakutarajiwa.Moja ya hilo ni kauli ya waziri wa mambo ya nje wa Urusi kuwa Hitler alikuwa ni myahudi. Israel imekuwa daima ikiomboleza kuuliwa kwa wayahudi katika vita vikuu vya pili vya dunia kwa watu wao wanaodai ni milioni 6 kulikofanywa na kiongozi wa nazi Adolf Hitler
Sergei Lavrov alitoa kauli hiyo siku ya Jumapili iliyopita katika mahojiano na kituo cha runinga cha Italy katika kipindi chake kinachoitwa Zona Bianca.Mtangazaji alimuuliza Sergei kwamba inakuwaje Urusi inasema inapigana na Ukraine ili kuondoa athari za wanazi wakati raisi wa nchi hiyo mwenyewe Vodolomy Zelensky ni myahudi.Katika jibu lake akasema "I could be wrong, but Hitler also had Jewish blood. [That Zelensky is Jewish] means absolutely nothing. Wise Jewish people say that the most ardent anti-Semites are usually Jews."
Hii ingekuwa na maana kuwa watu wenye roho mbaya sana na wabaguzi wakubwa duniani ni wanazi jambo ambalo Israel inapingana nalo kwa sababu itakuwa na maana wayahudi kwa matendo na maamuzi yao huwa wanajiangamiza wenyewe.
Ni kweli mama yake alikuwa ni myahudi.
 
Back
Top Bottom