Urusi imeishika pabaya Israel kuhusiana na Unazi

Urusi imeishika pabaya Israel kuhusiana na Unazi

wapalestina wanajiua wenyew kwa kuanzisha mashambuliz kama ambavyo Boko Harama na Al shabab wanavyowaponza waislamu wengine

Usiongee usichokijua,,,mahaba niuwe+chuki zimekujaa vifuani mwako mkuu.
 
wapalestina wanajiua wenyew kwa kuanzisha mashambuliz kama ambavyo Boko Harama na Al shabab wanavyowaponza waislamu wengine
Dunia imeweza kupumbazwa na kuamini kwamba wakifa wapalestina katika mashambulizi ni kama kafa SISIMIZI TU, Waafghanistani walikuwa ktk vita zikianzishwa na Marekani na kuuwa wananchihuko- kwa dunia ni sisimizi tu wanakufa huko, Vita huko Kongo watoto kwa wazee wanakufa ni kama wanyama wanakufa, sijakueleza huko Iraq, Syria, Somalia... listi unaweza kuijaza JF. Na hivi wiki iliyopita askari wa AU wameshambuliwa kiuoni kwao na wanajeshi zaidi ya 100 wamekufa ni sisimizi tu hao, husikii Sauti ya Dunia. Askari hao wangekuwa watunza amani wa UN wamekufa huko Ukraine Tungelazimishwan kila nchi iweke mlingoti NUSU.

Hivi tunaamini kweli kuwa askari wa Ukraine, wazee, watoto na akina mama wahuko wanapokufa na zaidi ya watu kama hao wakifa sehemu nyingine za Dunia. Hivi ni elimu gani tunazozisoma siku hizi. Tena utakuta hata viongozi wa Dini nao wako hivyo hivyo, wasomi na hata viongozi wa siasa wote vuichwa vimepumbazwa. Hivi ni ugonjwa gani huu.

Binadamu wote tuko sawa na wanaofikiri vinginevyo wana laana. Wake up Africa!
 
Mama yake Hitler alikuwa na mchanganyiko wa uyahudi na Austria.Hitler alitokea kuwachukia waisrael kwa sababu mbili 1.Mama yake alifariki kwa uzembe uliosababishwa na daktari wa kiyahudi 2.Kushindwa kwa ujerumani vita vya kwanza vya dunia Hitler aliitupia lawama israel kuwa ndio chanjo 3.Mdororo wa uchumu ujerumani aliwatupia lawama wayahudi maana kiukweli uchumi a kijerumani ulimilikiwa kiasi kikubwa na Wayahudi 4.Vyombo vya habari vilimilikiwa na wayahudi
 
Back
Top Bottom