passioner255
JF-Expert Member
- Apr 22, 2019
- 6,192
- 11,897
Small minded people like you must understand that even person from the Jews society can be a criminal.kwamb na ww imbecilss umeelewann hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Small minded people like you must understand that even person from the Jews society can be a criminal.kwamb na ww imbecilss umeelewann hapo
kwan aliyeongea hayo maneno ni nan ? mkiitwa vichaa mnalalamika , jitahidi kuiweka akili yako kwenye mada husika , mada haimuhus mmarekanmi nadhani marekani na wapambe wake nato ndiyo wanaotapatapa
lete hoja ww yahud wa israelWewe akili ndogo huwezi kuiona hoja hapo,wewe yahudi wa Nzega endelea tu na kilimo chako cha matembele huko.
acha kukurupuka soma upyakwan aliyeongea hayo maneno ni nan ? mkiitwa vichaa mnalalamika , jitahidi kuiweka akili yako kwenye mada husika , mada haimuhus mmarekan
Wewe mwenye akili kubwa weka hoja kuliko kubwabwaja kama umekaliaWewe akili ndogo huwezi kuiona hoja hapo,wewe yahudi wa Nzega endelea tu na kilimo chako cha matembele huko.
Uwelewa wako kwenye mambo haya ni mdogo sana. Ficha aibu yako.ukiona unashabikia hiyo hoja ujue una mtindio wa ubongo , hiyo asili ya Hitler haina uhusiano wwte na anachofanya Putin ss hv , Putin anatafuta kila mbinu kuiba mali za Ukraine , wapumbav ndo mnashabikia uvamiz huo ila Putin hana shida na NATO na ndio maana Estonia na Latvia zilijiunga NATO licha ya kuwa nchi jiran zake
Hiyo kuchukua mali za Ukraine nayo katika hali kama hii haina ubaya kwani mali zake hizo amezitumia vibaya kutaka kudhuru majirani zake.Katika mpangilio wake wa vita Urusi dhidi ya Ukraine ni kwanza kuwaminya mpaka wakonde wasiwe na nguvu tena.Wameshanyang'anywa uchumi wa bluu wote mpaka juzi wametangaza wanafunga biashara za bandari zake zote.Kwa maana hata Bakhresa kwa sasa ajue asikubali kuingia makubaliano na kampuni ya meli yoyote iliyokuwa aliyokuwa akifanya biashara ya kumletea bidhaa zake Tanzania kwani itakuwa ni utapeli na Ukraine haitaki kesi tena.Wale wa Azovstali wamefungiwa kupokea chakula na maji na wanaachwa wakonde halafu Mrusi aingie mashimoni kirahisi kuwatoa nje. Kwa maana hiyo mbinu ya kupigana kiuchumi nayo ni hoja kwa mtu ambaye ni jeuri sana.ukiona unashabikia hiyo hoja ujue una mtindio wa ubongo , hiyo asili ya Hitler haina uhusiano wwte na anachofanya Putin ss hv , Putin anatafuta kila mbinu kuiba mali za Ukraine , wapumbav ndo mnashabikia uvamiz huo ila Putin hana shida na NATO na ndio maana Estonia na Latvia zilijiunga NATO licha ya kuwa nchi jiran zake
duh mshaanza kutunga stori mpya , stori za NATO hazina nguv tena ?
Waziri Mkuu wa Israel, Naftali Bennett amekutana kwenye mazungumzo ya saa tatu na Rais wa Urusi, Vladimir Putin katika Jiji la Moscow, Urusi katika harakati za kutatua mzozo wa Urusi na Ukraine, mazungumzo hayo yamepewa baraka na Utawala wa Marekani.
Mazungumzo hayo ya kidiplomasia yamesimamiwa pia Ujerumani na Ufaransa kwa lengo la kufanikisha kuumaliza mzozo wa Ukraine na Urusi.
Bennett pia amezungumza na Rais wa Ukraine, Zelensky baada ya mazungumzo yake na Putin.
Baada ya hapo, Bennett alifunga safari mpaka Ujerumani na kuonana na Chancellor Olaf.
Laaana haijawahi kumuacha mtu salamaHii ni sahihi kabisa, Waisraeli wengi wanaroho mbaya na hufanya mambo ambayo hatimaye hupelekea maangamio yao wenyewe.
Mkiambiwa ukweli mnabaki na mistari yenu ya wazungu na kukariri, mtumwa wa kifikra wwHuwezi kuichukia Israel ukabaki salama.
Narudia, huwezi kuichukia Israel ukabaki salama. Zingatia haya kwa makini!
Wakipata wanakufuru ,hawatoi shukran na wakikosa pia hawatubu na wanalaaniJamaa kaongea ukweli wayahudi ni watu wenye laaana kubwa tokea enzi za Issa bin Maryam (Yesu) mijamaa ina roho mbaya sana ndio maana hakuna nchi iliowachukua na mpaka leo wanahangaika tu hawana ardhi, laana mbaya sana, Lavrov yuko sahihi kabisa
Gadafi alijaribu yakamkuta.Lavrov kayavulia nguo na alijiandaa kuyaoga.Sasa tuone hicho kiburi chao na kulialia kila siku iwapo vitasaidia.Ndugu yangu nchi ya Ulaya yenye Wayahudi wengi kuliko nyingine Zote ni Ukraine. Ukiigusa Ukraine umeigusa Israel kama hukujua. Mpango uliokuwepo juu ya Ukraine huko mbeleni ni mkubwa kuliko unavyofikiri wewe.
Toka vita ianze waziri wa Israel ameshaenda Urusi mara 6, jiulize kwanini. Zelensky hakuwa Raisi pale Ukraine kwa bahati mbaya, ulikuwa mpango maalum na mahsusi. Baada ya miaka 20 Ukraine ingekuwa vizuri kiuchumi na kijeshi kuliko nchi yeyote ile Ulaya. Mpaka sasa tu walishaandaliwa vizuri sana, ndio maana mrusi akaona kuwa akichelewa amekwisha.
Lavrov hakusema kauli hiyo kawa bahati mbaya, alijiandaa vizuri sana na nyuma yake anaungwa mkono na wengi tu.
Wako kwa gwaju boi wanasubiria mropoke waje na maandikoWatoto wa Esau wako wapi?
Wewe kama umezowea kukalia endelea tu kukalia ila usifikiri ukifanyacho wewe ndio na wengine hukifanya,Wewe mwenye akili kubwa weka hoja kuliko kubwabwaja kama umekalia
Isome thd tena utaiona hoja ndani ya thd,huyo uliyekuja kumtetea anasema haoni hoja kwenye thd,haya ungana nae muanze kuitafuta hoja ya Sergio Lavrov.lete hoja ww yahud wa israel
Israel anawasumbua waarabu tu sio watu timamu kama WarusiSasa hapo ndo atakuwa anazidi kupotea njia. Kujaribu kumwingiza Mwisraeli kwenye huu mgogoro hakutamwacha salama.
Kabumbulusha deal lao kisawasawa, hawakujiandaa na plan B. Sasa hivi wakishirikiana na jamaa zao EU, Marekani na UN wanakurupuka na hatua mbalimbali ikiwa pamoja na Vikwazo vya kununua mafuta na Gas (hapa wamegawanyika sana) ya mrusi. Kuitoa Urusi katika Swift code(system ya malipo/kutuma pesa ya kimataifa), kaachana nao na kafuata idioloji ya Gadafi ya kuachana na Dola na Euro na sasa unapata bidhaa zake kwa Rubble-pesa yake moja kwa moja.Putin kawashtukia Waisraeli, kwani kupitia Zelensky walitaka kuifanya Ukraine kama Esraeli ya Ulaya.