passioner255
JF-Expert Member
- Apr 22, 2019
- 6,192
- 11,897
[emoji23][emoji23][emoji23]dahWaramuelewaje mrussi wakati wameshindwa kumuelewa Gwajima anayewadanganya kufufua wafu huku akimfukia ardhini mama yake!!
Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
Nikadhani wewe utakuwa kati ya wachache watakaojikita kwenye hoja zaidi kuliko haya maneno mepesi ya kwenye khanga,kumbe na wewe ni yale yale tu.Wapo mbali na Dunia hawa, ni bora liende. Chai, maharage tu inawatosha. Wasaidie kidogokidogo watakuelewa tu.
porojo za mtandaoni,au kwasababu ni taifa teuleIsrael asiwachokoze hawa jamaa wana wataalamu wa vita sana hata Marekani hajawahi kuibeza Izrael akija akiamua kuingilia vita ya Ukraine na kushirikiana naye Mrusi wa mchongo ataumia sanaa
Israel asiwachokoze hawa jamaa wana wataalamu wa vita sana hata Marekani hajawahi kuibeza Izrael akija akiamua kuingilia vita ya Ukraine na kushirikiana naye Mrusi wa mchongo ataumia sanaa
Huwezi kuichukia Israel ukabaki salama.Putin kawashtukia Waisraeli, kwani kupitia Zelensky walitaka kuifanya Ukraine kama Esraeli ya Ulaya.
sawaHuwezi kuichukia Israel ukabaki salama.
Narudia, huwezi kuichukia Israel ukabaki salama. Zingatia haya kwa makini!
Sasa hapo ndo atakuwa anazidi kupotea njia. Kujaribu kumwingiza Mwisraeli kwenye huu mgogoro hakutamwacha salama.Urusi inafuta kupata support kutoka kwa waarabu ndio maana wanajaribu kutumia karata hizi za kuwa brand kiaina wa israel kuamsha hisia za namna flani kutoka midfle east dhidi ya jews
mi nadhani marekani na wapambe wake nato ndiyo wanaotapatapa... hoja ni ipi hasa? Kwamba wayahudi walijiangamiza wenyewe? Hana hoja huyo; mfa maji haachi kutapatapa.
Sawa Netanyahu!!!Huwezi kuichukia Israel ukabaki salama.
Narudia, huwezi kuichukia Israel ukabaki salama. Zingatia haya kwa makini!
Ndio umekaririshwa hivyo huko kwenye ufufuo na uzima?Huwezi kuichukia Israel ukabaki salama.
Narudia, huwezi kuichukia Israel ukabaki salama. Zingatia haya kwa makini!
Wewe akili ndogo huwezi kuiona hoja hapo,wewe yahudi wa Nzega endelea tu na kilimo chako cha matembele huko.... hoja ni ipi hasa? Kwamba wayahudi walijiangamiza wenyewe? Hana hoja huyo; mfa maji haachi kutapatapa.
huna akili , Hiyo hoja hailet muungano wwte na wayaudi maana Hitler alikuzwa kwenye maadili mengine kbsHayo yako wazi na yanajulikana, tatizo ni nani atapaza Sauti katika dunia hii inayoongozwa na kabila moja lisilogusika kwa kipindi hiki. Ukiigusa Marekani umeligusa kabila hilo, west europe umeligusa kabila hilo na huko Ukraine ndio wamejaa.
Kuwa Hitler alikuwa na damu ya Kiyahudi imeandikwa katika vitabu vingi tu, pengine Watanzania ni wavivu tu wa kusoma vitabu lakini si jambo geni. Tena katika vitabu hivyo wameandika vizuri sana mpaka na kutaja ni ndugu gani aliyekuwa myahudi katka nasaba zao. Someni vitabu ndugu zanguni, Anzeni na " My strugle by Hitler mwenyewe"
duh stori za vijiweni kweny ubora wakeNdugu yangu nchi ya Ulaya yenye Wayahudi wengi kuliko nyingine Zote ni Ukraine. Ukiigusa Ukraine umeigusa Israel kama hukujua. Mpango uliokuwepo juu ya Ukraine huko mbeleni ni mkubwa kuliko unavyofikiri wewe.
Toka vita ianze waziri wa Israel ameshaenda Urusi mara 6, jiulize kwanini. Zelensky hakuwa Raisi pale Ukraine kwa bahati mbaya, ulikuwa mpango maalum na mahsusi. Baada ya miaka 20 Ukraine ingekuwa vizuri kiuchumi na kijeshi kuliko nchi yeyote ile Ulaya. Mpaka sasa tu walishaandaliwa vizuri sana, ndio maana mrusi akaona kuwa akichelewa amekwisha.
Lavrov hakusema kauli hiyo kawa bahati mbaya, alijiandaa vizuri sana na nyuma yake anaungwa mkono na wengi tu.
kwamb na ww imbecilss umeelewann hapoSmall minded people can not understand
ukiona unashabikia hiyo hoja ujue una mtindio wa ubongo , hiyo asili ya Hitler haina uhusiano wwte na anachofanya Putin ss hv , Putin anatafuta kila mbinu kuiba mali za Ukraine , wapumbav ndo mnashabikia uvamiz huo ila Putin hana shida na NATO na ndio maana Estonia na Latvia zilijiunga NATO licha ya kuwa nchi jiran zakeWaramuelewaje mrussi wakati wameshindwa kumuelewa Gwajima anayewadanganya kufufua wafu huku akimfukia ardhini mama yake!!
Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
Mahaba niuwe binbaraghash.Israel asiwachokoze hawa jamaa wana wataalamu wa vita sana hata Marekani hajawahi kuibeza Izrael akija akiamua kuingilia vita ya Ukraine na kushirikiana naye Mrusi wa mchongo ataumia sanaa
duh mshaanza kutunga stori mpya , stori za NATO hazina nguv tena ?Putin kawashtukia Waisraeli, kwani kupitia Zelensky walitaka kuifanya Ukraine kama Esraeli ya Ulaya.
wapalestina wanajiua wenyew kwa kuanzisha mashambuliz kama ambavyo Boko Harama na Al shabab wanavyowaponza waislamu wengineSijajua ndugu yangu wewe ni imani ipi!! Hapo nyuma ulionekana ukiisapoti ukraine na washirika wake, nafikiri hadi sasa tunavyoongea unawasapoti,,,na sasa Umegeukia kuwaunga mkono mayahudi wanaouwa waislamu. إنا لله وإنا إليه راجعون