Urusi imepanga kufanya gwaride la maadhimisho ya siku ya mashujaa Mei 9 kwenye mji walioteka wa Mariupal

Urusi imepanga kufanya gwaride la maadhimisho ya siku ya mashujaa Mei 9 kwenye mji walioteka wa Mariupal

[emoji23][emoji23][emoji23]
Mtani ameitikia kinyonge. Mimi sioni kama kuna shida wao kufanya parade hapo kwani upo wakati wataachia tu hilo eneo hapo, usikute Russia anafanya hivyo ili Ukraine ijikite zaidi kukomboa eneo hilo before tarehe 9 huku wakiachia nafasi mambo mengine ya msingi. Ukraine kwa sasa ijikite zaidi kutafakari nini cha kufanya ktk pambano hili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe unawamini walevi wanya vodka. Si walisema atakayeingilia atakutana na kitu kizito sasa ivi kila nchi inasaidia Ukraine. Mpaka sasa tunapoelekea na majeshi ya kulinda amani ya Africa yataenda kuwasaidia Ukraine. Utakuja kujiona wa ajabu
lakini si wao ukraini na washirika wao ndo wameongea hayo?
 
Imedhibitika.
So unajua Zelewinky anaupiga mwingi.? Propaganda
Sherehe zinafanyika wapi mrusi mwenye sherehe ndio yuko correct
Ila sema Russia original plan yao walipanga wafanye Mariupol kusherehekea victory day kuteka mariupol

Lakini Muziki waliokutana nao mariupol wamebadilisha

Lakini original plan ilikuwa kuvamia Ukraine ndani ya saa 72 taka na chukua mariupol na sherehe za victory parade walipanga zitafanyika Mariupol

Zelensnkyy wala si kuwa alisema propaganda hiyo ilikuwa military plan ya Russia from day one kuwa victory day itafanyika Mariupol kuonyesha dunia kuwa Jeshi la Russia kidume!! Imeshindikana kwa aibu ya walichokumbana na Jeshi shupavu la Ukraine
 
hivi ilikuaje Mrusi akauteka mji muhimu kiasi hicho wakati zile javelin bado zipo
 
we sijui shule uliyosoma imekusaidiaje!! wengine Jamii forum mnaivamia tu ilitakiwa muwe kwenye level zenu za Instagram na Facebook......

nakusihi rudia soma tena kilichoandikwa.. hii ni (nukuu) quote ya wanalichosema nchi za magharibi juu ya wasiwasi wao kama urusi anaweza kufanya gwaride la maadhimisho ya siku ya mashujaa kwenye ardhi ya ukraine (Mariopaul) wala sio mimi kwamba nimebuni kutoka kichwani. .wala sio urusi aliyetangaza kufanya hivyo.. bali ni wale ndugu zenu (waukraine) kwa sababu ya wasiwasi wao juu ya maamuzi ya urusi.. soma tena...
Sisi tunamuuliza mleta mada aliotuhakikishia sherehe zitafanyikia hapo
 
we sijui shule uliyosoma imekusaidiaje!! wengine Jamii forum mnaivamia tu ilitakiwa muwe kwenye level zenu za Instagram na Facebook......

nakusihi rudia soma tena kilichoandikwa.. hii ni (nukuu) quote ya wanalichosema nchi za magharibi juu ya wasiwasi wao kama urusi anaweza kufanya gwaride la maadhimisho ya siku ya mashujaa kwenye ardhi ya ukraine (Mariopaul) wala sio mimi kwamba nimebuni kutoka kichwani. .wala sio urusi aliyetangaza kufanya hivyo.. bali ni wale ndugu zenu (waukraine) kwa sababu ya wasiwasi wao juu ya maamuzi ya urusi.. soma tena...

Mkuu samahani lakini na Mimi nanukuu maneno yako ya kwenye hiyo habari na nakuuliza swali pia haya maneno uliyanukuu kutoka huko ulikonukuu? Nanukuu

"NB: Richa ya kuongezeka kwa propaganda za magharibi kuwa Russia imetetereka kwenye hii vita; Naona mbabe...Putin anataka aionyeshe dunia na kuhalarisha kuiteka na kuitawala miji kadhaa ya Ukraine kama vile Donetsk, luhansik, mariupal na kherson."
 
Mkuu samahani lakini na Mimi nanukuu maneno yako ya kwenye hiyo habari na nakuuliza swali pia haya maneno uliyanukuu kutoka huko ulikonukuu? Nanukuu

"NB: Richa ya kuongezeka kwa propaganda za magharibi kuwa Russia imetetereka kwenye hii vita; Naona mbabe...Putin anataka aionyeshe dunia na kuhalarisha kuiteka na kuitawala miji kadhaa ya Ukraine kama vile Donetsk, luhansik, mariupal na kherson."
Nimepiga kambi hapa nasubiri majibu
 
mkuu Tarehe 9 Leo au hauna kalenda umesikiliza hotuba ya Putin au bado sherehe zimefanyikia wapi?
 
Back
Top Bottom