Muuza Viat
JF-Expert Member
- Dec 23, 2022
- 2,826
- 7,388
Ukiomba kupunguziwa bei au ukishindwa kununua kutokana na ughali anatishia kukuwekea vikwazoUS ana OVER PRICE silaha zake ila hakuna kitu [emoji38][emoji38][emoji38]
Hebu nikumbushe Patriot zilipelekwa lini Ukraine, na zimekua deployed wapi na wapi? Inawezekana hii habari sikuisikia labda.Wakati Marekani imeamua kupeleka Patriot nchini ukraine ikasemekana kuwa muarobaini wa mashambulizi ya anga ya urusi nchini ukraine umepatikana!! Kumbe hakuna kitu! Patriot ni kama midoli tu mbele ya Kinzhal hypersonic missile system!!
Russian forces have delivered a massive missile strike on Ukraineβs military infrastructure as retaliation for Kiev's terrorist attack on Bryansk border region earlier this month, the Ministry of Defense stated on Thursday. It added that all assigned targets had been hit.
In a statement, the ministry outlined that the attack involved βhigh-precision long-range air, sea, and land-based weapons, including the Kinzhal hypersonic missile system.β The latter has a range of more than 2,000 km.
βThe massive retaliation strikeβ hit key elements of Ukraine's military infrastructure, defense industry complexes as well as energy facilities that contribute to their operations. βThe mission has been accomplished. All assigned targets have been hit," the statement read.
Wenyewe makamanda wa Ukraine wamekiri kuwa hawana uwezo wa kuyazuia makombora haya ya urusi (pamoja na kuwa na Patriot air defense ya marekani).
Russia's overnight strikes constitute "an attack like I don't remember seeing before," said a spokesman for the Ukrainian air force on Thursday.
As you can see, the attack is really large-scale and for the first time using such different types of missiles," said Yurii Ihnat, spokesman for the Air Force Command of Ukraine, on Ukrainian television.
"We see that this time as many as six Kinzhal were used. This is an attack like I don't remember seeing before," he added.
"Different types of aircraft were used, strategic, long-range, Mig21. There were 81 missile launches," said Ihnat.
"There were X-22 (missiles), which we can't shoot down, we can't shoot down the Kinzhal either, it's six plus six and 13 S-300 (that haven't been shot down by Ukrainian Air Defense Forces)," he said.
"So far, we have no capabilities to counter these weapons," added Ihnat.
MK 254 umemsikia msemaji wa jeshi la anga la ukraine anavyosema?? ""so far we have no capability to counter these weapons". Likirushwa hakuna jinsi ni kusubiri tu lifanye vitu vyake!!
Russian S-500 is believed to be, the only air defense in the world, capable of shooting down hypersonic missiles .....Hypersonic missile haizuiliki mkuu, hata Russia wenyewe hawawezi kuzuiya hypersonic missile.
Kwaio unafikiri NATO anasubiri nini kuingia Ukraine?π€£π€£π€£Urusi hawana uwezo bwashee wa kupambana na NATO hilo hata baba yenu Putin analitambua
Mbona husemi Urusi tumia nuclear ili tuamini kama wewe ni superpower?? Should russia use any means to defeat Ukraine?? No haikubaliki kutumia silaha za maangamizi Ukraine ndio maana wanatumia muda mrefu kumaliza vita ,,,,Ujui kiingereza bwashee, unachokisema wewe hakipo, unafikiri wewe pekee yako ndo unashabikia Urusi humu jamvini?
Mtu mwenyewe sijui uliishia la saba alafu unaanza kutuletea ujinga wako, wamesema hawana zana wa kuweza kudungua x-22, kinzhal bt ukweli Ukraine level yake ilikuwa bado kupambana kijeshi na Russia ila wameonyesha ujasiri wa hali ya juu na uthubutu.
If wakija kupata zana za uhakika Russia wapata wakati mgumu sana tena sana, kumbuka ni msaada unapewa kimoja au viwili havikidhi mahitaji yake, na hiyo Patriot unayoshupalia shingo hapa bado haijawafikia, na wewe uko kama Western media mnayolia lia hapa et wanapiga propaganda wakati wewe ndie umewazidi hata hao western media kwa propaganda zako uchwara humu.
Mwaka umekata vijana wa super power, mnashangilia kurusha makombora kwa mbali ukiwa Moscow unaogopa nini peleka pua Kyiv basi, ili tuamini kweli wewe ni super power.
Kuna S-500Hypersonic missile haizuiliki mkuu, hata Russia wenyewe hawawezi kuzuiya hypersonic missile.
Alisikika mtetezi mmoja wa upinde wa mvua aking'akaKwa ufinyu wa mawazo ulionao, unafikiri USA ni kama Russia? USA army wakitia mguu tu sehemu habari ingeshaisha mda mrefu mda tungekuwa tunapewa tu habari za misada wa kijamii kwa raia ok
USA ni another level bwashee, acha akili yako ifanye kazi braza, by the way tayari mmeprove failure na hamna lolote cha maana ndani ya vichwa vyenu ndo maana agizo la Chongolo linakuhusu bwashee
Punguza ujuaji mkuu...Wewe ni mjinga bwashee, sasa ndo unasema nini au ndo kuchanganyikiwa? Ukraine ni jimbo ndani ya Russia hahahahahaha!
Kichwa kipo empty bwashee, ujui hata unaongelea nini ndo uweze kuchambua masuala mazito ya kisiasa duniani?
Patriot haiwezi kudetect na kuzuia hypersonic missile...Ukraine's air defense systems "not coping well enough" against Russian hypersonic missiles, adviser says
From CNN's Jessie Gretener
Ukraine's air defense systems didn't withstand some of Russia's Kinzhal missiles, according to an adviser to President Volodymyr Zelensky, following a widespread attack from Moscow on Thursday.
A total of 84 missiles were fired on Ukrainian infrastructure, including six Kinzhal ballistic missiles that have the ability to elude Kyivβs air defenses, the Ukrainian military said.
"They are using hypersonic missiles. They are using new types of weapons, and they are seeing how our air defense systems can cope with it," said Alexander Rodnyansky, an economic adviser to Zelensky. "They are not coping well enough."
Marekani alikaa miaka mingapi Afghanistan na mwisho wa siku alimwaga manyanga na kutelekeza silaha lukuki nyuma!?
Teh teh teh ππ yaani hasara zote alizopata mpaka sasa unaita ' store clearance'....?Nliwambia na ninarudia tena urusi hajadeploy askari na siraha zake, anachofanya ilikuwa store clearannce tu. Amechukua kidogo tu juzi marekani hana drone tank juzi walikuwa wanapiga tank moja ila ya nyuma inapita, wamepiga mpaka silaha zikaisha jamaa wakapita
Unajua mlizoea kupiga Iraq nchi dhaifu na isiyo na msaada wowote kwa umoja wa NATO Kwa mwezi mmoja.Siku 3 sasa zimekua tunanza utafuta mwaka na nusu aisee
Russia wanaweza kuzuia.nina taarifa juu ya hili ninalolisema.Hypersonic missile haizuiliki mkuu, hata Russia wenyewe hawawezi kuzuiya hypersonic missile.
We nae ni mpuuzi puuzi tuu..huna unalojua...hufai hata kwenda veta..wewe rudi secondary kabisa mana hata uandishi wako unatia kichefuchefu.. kama USA anajiamini kwa nini asipeleke tako pale ukraine mazima..mbona anaiba iba na hao NATO.Kwa ufinyu wa mawazo ulionao, unafikiri USA ni kama Russia? USA army wakitia mguu tu sehemu habari ingeshaisha mda mrefu mda tungekuwa tunapewa tu habari za misada wa kijamii kwa raia ok
USA ni another level bwashee, acha akili yako ifanye kazi braza, by the way tayari mmeprove failure na hamna lolote cha maana ndani ya vichwa vyenu ndo maana agizo la Chongolo linakuhusu bwashee
Point muhimu sana hii.Urusi atakua na air defence system ya hpersonic missile,huezi develop hypesonic kwa mafanikio makubwa afu ushindwe kudevelop antinode yake.
Mataifa mengine kama ndo wanapambana wapate hypersonic sio rahisi kua na mfumo wakuyazuia.
Saiv ndo nimepata picha why marekani alisema haiwezi na hataki kuingia vitani direct na mrusi.
πππππππππππππ·πΊπͺMpaka sasa mwenye hakili timamu hawezi kushindwa kuelewa super power wa ukweli ni nani?
1.Rusia amesimama imara dhidi ya siraha kibao za west ambazo west walijua zitafanya mabadiliko makubwa, waliamini technologist yao ni bora kuliko ya russia.Ila kinachoendelea KILA mtu anakiona.
2.Russia anapambana battle ya ujasusi na taasisi imara za kijasusi duniani.ikiwemo
.CIA, MI6, na zingine kibao za poland ufaransa n.k
NA hapa kwenye ujasusi tunazungumza ujasusi wa rasilimali watu, ujasusi wa tecnologia.mfano matumizi ya ndege,drone na mifumo mengine ya upelelezi ya kisasa bila kusahau sateliate both military sateliate na sateliate za kawaida zote zinamulika urusi.Bila kusahau ujasusi wa kiuchumi.
3.Vikao vya KILA aina vimefanyika dhidi ya russia mpaka saiv tukisikia kuna kikao kuhusu russia tulishazoea no new.
4.Amesimama imara dhidi ya vikwazo.
Sasa kama mpaka sasa hujajua superpower ni nani utakua na shida.
Mfano mdogo ukitaka ujue bala la russia juzi bideni alikua kyvi ila baada ya biden kurudi alisema mwenyewe kha kichwa kilimgonga sana mpaka akahisi hana ubongo.That means alikua kyvi ila roho ilikua juu juu,na alichokiona huenda hakutarajia kukiona, kama raisi anaejiita wa dunia lazima kichwa kiume.
Kweli hawa jamaa wanatuchanganya na hii vita yao ni kama vile kuna mambo ya kutoa masiraha yao yaliyokaa store muda mrefu yatumike.Mara masaa 3, Mara siku 3, Mara wiki 3, Mara miezi 3, Mara miaka 3, Mara miongo 3
Tuelewe kipi? Mnachosha mashabiki wa vita
S-500 iko wapi. Kuna mahala ushaiona? Ndio kwanza iko kwenye developmentRussian S-500 is believed to be, the only air defense in the world, capable of shooting down hypersonic missiles .....
Mleta mada hajui hata Patriot ni nini msamehe. Yeye kila akiona AD system anaita Patriot
S-300 na TOR zimepigwa na Ukraine jana. Ushindwe silaha ndogo za angani uje uweze hypersonic missilesUrusi atakua na air defence system ya hpersonic missile,huezi develop hypesonic kwa mafanikio makubwa afu ushindwe kudevelop antinode yake.
Mataifa mengine kama ndo wanapambana wapate hypersonic sio rahisi kua na mfumo wakuyazuia.
Saiv ndo nimepata picha why marekani alisema haiwezi na hataki kuingia vitani direct na mrusi.
Wapi USA walitia mguu na wakamaliza habari ?Kwa ufinyu wa mawazo ulionao, unafikiri USA ni kama Russia? USA army wakitia mguu tu sehemu habari ingeshaisha mda mrefu mda tungekuwa tunapewa tu habari za misada wa kijamii kwa raia ok
USA ni another level bwashee, acha akili yako ifanye kazi braza, by the way tayari mmeprove failure na hamna lolote cha maana ndani ya vichwa vyenu ndo maana agizo la Chongolo linakuhusu bwashee