Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,683
- 14,060
Hakuna mahali nimekuuliza wewe upo JF muda gani ? acha kuleta vijihoja visivyo kuwa na maana tubaki kwenye topicUna capacity ndogo sana kuajdiliana na mimi kwenye swala lolote iwapo unaanza kuniita mpumbavu. Kajifuze namna ya kujenga hoja kuliko kutumia matusi. Nimekuwapo hap JF zaidi ya miaka 16, ninajua matusi sana ila leo sitatumia lugha ya matusi kwako ila ninakushauri utafute watu wenye lugha za matusi huwa ninawajibu vipi; tena kwa lugah chafu kas=bisa kuliko walizotumia kwangu. Halafu uje unijibu kabisa sitakujibu rasmi kwa hii post hii.
Mwarabu nae kajimegea loliondo na Ngorongoro kwa kuwafukuza wenyeji wamasai.Urusi imeonyesha mfano kuwa taifa moja linaweza kumega ardhi ya Taifa jingine na kuifanya yake, Venezuela naye sasa anafuata, anataka kumega nusu ya Guiyana ajichukulie. Hii lawlessness itaishia wapi, Je Tanzania nasi tujitwalie Burundi na Rwanda zote kwa vile wakati wa Mjerumani tulikuwa nchi moja?
Kwani huju pia kuwa Vatican City inaongozwa na Pope wa kikatoliki na ina mabalozi karibu dunia nzima?Dalali lama ni kiongozi wa dini na pia alikuwa ni land lord.
Tibet ni sehemu ya China kabla hata wazungu hawajapanda meli kwenda kuvamia North America.
Bado niakusubiri kabla sijakurushia matusi ya nguoni na wewe baada ya kuniita mimi mpumbavu badala ya kujadili mada iliyoko mbele yetu. Hujakiri kuwa hukuniita mpumbavu kwa makusudi ila uliteleza ulimi tu.Hauna mahali nimekuuliza wewe upo JF muda gani ? acha kuleta vijihoja visivyo kuwa na maana tubaki kwenye topic
Mambo yale yale, lakini angalu mwarabu hakutumia mabavu.Mwarabu nae kajimegea loliondo na Ngorongoro kwa kuwakuza wenyeji wamasai.
Sasa hivi dunia ni vululu vululu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuambia dalai lama alikuwa kiongozi wa dini na land lord.Kwani huju pia kuwa Vatican City inaongozwa na Pope wa kikatoliki na ina mabalozi karibu dunia nzima?
Kijeshi Rwanda tumeizidi mbali sana. Kama Rwanda inashindwa kuimega DRC itaweza kuimega Tz?Tusiidharau Rwanda eti kwa sababu ni "kanchi kadogo," tunajidanganya. Vita vya siku hizi ushindi wake unategemea sana Ubora/ Viwango vya Sayansi na Teknilojia na ubora wa akili wa akili walizonazo wapiganaji lakini siyo ukubwa wa nchi au wingi tu wa wapiganaji. Mfano mzuri ulio hai ktk hili ni nchi ndogo ya Israeli ambayo inasumbua mataifa mengi majirani zake.
Acha kusema uwongo hapa marekani alivamia Iraq kihalali kwa amri ya nani? Weka ushahidi hapa. UN ilithibitisha Iraq hakua na silaha za maangamizi lakini marekani alitumia nguvu kuivamia Iraq na kumuua Sadam hussein.Wana Jf, Marekani iliivamia Iraq "kihalali". Hivyo kosa la Urusi ni kutotumia kidude kinachoitwa UN kuhalalisha kuivamia Ukraine.
Funzo kwenu wanajf ukitaka kujichukulia sheria mkononi kimataifa "kihalali" basi kitumie kidude UN. Mmeelewa?
Hii imenikumbusha satire ya yule Comedian Bassem Youssem alipowakejeli baadhi ya Pro-zionists pale aliposema "IDF ndio jeshi pekee duniani linalowaonya raia kabla ya kuwapiga mabomu! Ni jambo zuri lilioje hilo!.. Hivyo kwa mantiki hiyo hata majeshi ya Urusi kama yatawaonya na kuwapa tahadhari raia wa Ukraine kabla ya kulipua majumba yao basi tuko poa tu na Putin sio?, Habibi umeshawaonya vamia tu"
Soma comment yangu tena na tenaAcha kusema uwongo hapa marekani alivamia Iraq kihalali kwa amri ya nani? Weka ushahidi hapa. UN ilithibitisha Iraq hakua na silaha za maangamizi lakini marekani alitumia nguvu kuivamia Iraq na kumuua Sadam hussein.
Labda unieleweshe ulichokua unamaanisha.Soma comment yangu tena na tena
Namkejeli niliye mquoteLabda unieleweshe ulichokua unamaanisha.
Nimekuelewa sasa mkuu.Namkejeli niliye mquote
Unadhani hayo ya uk us france nk mtoa mada hayajui anayajua sanaIla Uingereza kuvikalia visiwa vya Falk Island ni sawa?
Ufaransa mpaka Leo kuishikilia Mayotte ni sawa?
Marekani na Hawaii, unataka kusema nini?
Israel na maeneo ya Wapalestina?
China na Tibet, Xinjiang, Macau?
Angola na Jimbo la Kabinda?
Wewe kwa maono yako mafupi unazani yameanza kutokea Jana?
Dunia haipo fair na mwenye nguvu ndio mtawala.
Boss wewe unazungumzia Ramani ya 1947 mbona mwaka 1967 Israel iliiteka milima ya Golan ambayo ni sehemu ya nchi ya Syria na hakuna anayeibughudhi Israel kuikalia milima hiyo?Mtazamo mfupi huo uliojaa mawazo ya ugombea uhuru wa miaka sitini; Uingereza, Ufaransa na Israel wamevamia nchi gani. Mgawanyo wa ardhi baina ya Israel na Palestina ulifanywa na Umoja wa mataifa mwaka 1947 kufuatia mapendekezo ya United Nations Special Commission on Palestine. Waarabu wengine hawataki kuwapo kwa Tiafa la Israel, na ndiyo maana ya mgogoro huo. Wangetambua tu mipaka hiyo iliyowekwa na umoja wa mataifa kama Tanganyika ilivyotambua mipaka baina yake na nchi za Rwanda na Burundi ambayo iliweka na umoja wa mataifa baada ya vita ya kwanza, kusingekuwapo mgogoro.
Mumeiona Russia tu mlivyokua mnajitoa ufahamIssue kubwa ni hii tabia mbaya kuvamia majirani na kujimegea ardhi zao. Urusi ni nchi yenye ardhi kubwa sana kuliko nchi nyingine yoyote duniani, lakini bado wana tamaa ya kujimegea ardhi kutoka nchi ndogo kama Ukraine. Dunia tunaelekea pabaya!
Haya Mawazo mlikuwa nayo Kwa Israel Lakini kile kikundi tu kule Gaza Mziki.Msiikuze Rwanda kiivyo baadae mkakimbilia haki za binadamu.Huyo PK anajua pa kuchovya mikono Tz athubutu.Hivi unaielewa Rwanda vuzuri?
Tz inaweza kuishia kumegwa kilaini tu
Ni nchi. Ulitaka kusema nini ?Brunei ni Taifa?
Nchi zote ziliundwa kimabavu miaka hiyo hata Tanganyika bila ubabe wa mjeruman haipo. kwa sasa mfumo wa dunia ni tofauti.Hakuanza Urusi alianza baba lao US na wapambe wake. Wamefanya hivyo nchi nyingi tu wakiondoa tawala zilizopo na kuzikalia nchi kimabavu. Sijui ni kitu gani huwa kinawafanya muone US anachofanya ni sawa ila wengine si sawa.
Sio miaka hiyo nchi za America Kusini zilikuwa tayari zinajitawala achana na mambo ya miaka 1880 huko.Nchi zote ziliundwa kimabavu miaka hiyo hata Tanganyika bila ubabe wa mjeruman haipo. kwa sasa mfumo wa dunia ni tofauti.